jamani wapenda na wadau wote wa JF! Jambo moja hunitatiza! hiv kweli kabisa mtu aweza pata mwenzi wa maisha humu au kupitia JF? mimi na naamini wapo wengine wengi tu kama mimi wanaohitaji wenza ila mimi nahofia kama kweli inawezekana kwan wadau naona kama mnanikatisha tamaa hasa ninapoona baadhi hata ushauri wao waliowengi wanapindisha they don't hit to the point. please je inawezekana kweliiiii? ushauri wako nauhitaji tafadhari