Ikwanja
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 2,082
- 581
Wakuu naomba kuuliza!
Hivi ni kweli Bush alikuja all the way kutoka US kuja kukagua salon ya nywele za akina mama pale Magomeni na kupokelewa na Rais wetu, au ndo tushauzwa? Nilishanga sana kuona hata shughuli kubwa za maswala ya Ukimwi hayakutangazwa kivile, lakini ujio wa huyu bwana ulikuwa kwenye news. mwe!!!!
Nimejiuliza maswali mengi sana bila kupata majibu. Kwa nini wasifadhili mambo ya muhimu kama ujenzi wa infrastructure za mashule, hospitali, barabara, maji nk lakini msafara mkubwa unakuja kukagua salon migomigo.
wadau nawaombeni mwenye taarifa kamili anisaidie, mi hiyo issue imeshindikana kuingia kichwani mwangu.
Nawasilisha.
Hivi ni kweli Bush alikuja all the way kutoka US kuja kukagua salon ya nywele za akina mama pale Magomeni na kupokelewa na Rais wetu, au ndo tushauzwa? Nilishanga sana kuona hata shughuli kubwa za maswala ya Ukimwi hayakutangazwa kivile, lakini ujio wa huyu bwana ulikuwa kwenye news. mwe!!!!
Nimejiuliza maswali mengi sana bila kupata majibu. Kwa nini wasifadhili mambo ya muhimu kama ujenzi wa infrastructure za mashule, hospitali, barabara, maji nk lakini msafara mkubwa unakuja kukagua salon migomigo.
wadau nawaombeni mwenye taarifa kamili anisaidie, mi hiyo issue imeshindikana kuingia kichwani mwangu.
Nawasilisha.