Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,718
Ila kwanini waarabu hawana shida hizi aisee. Unajua sisi tunajifanya kwenda na wakati sana ndio mana ma relationship hayadumu.
Hakiya nani vile,mimi na make my several millions naenda zangu arabuni au nikishindwa hata unguja hapo. Beba ka mamsap bombaaa, kitu SEALED kabisaaaaaa. Leta bongo kwenye ka secluded house kangu, fungia ndani full time!! Kutoka ni na mimi tu. Mtoto hajui cha runn way bills, much more, Java wala nini. Yeye ni kulea, kunipikia basi!!!
Tatizo wabongo tunapenda kuishi kithungu, nafkiri tujaribu kiarabu since we are copy cats in everything!
Hakiya nani vile,mimi na make my several millions naenda zangu arabuni au nikishindwa hata unguja hapo. Beba ka mamsap bombaaa, kitu SEALED kabisaaaaaa. Leta bongo kwenye ka secluded house kangu, fungia ndani full time!! Kutoka ni na mimi tu. Mtoto hajui cha runn way bills, much more, Java wala nini. Yeye ni kulea, kunipikia basi!!!
Tatizo wabongo tunapenda kuishi kithungu, nafkiri tujaribu kiarabu since we are copy cats in everything!