Kwani wavulana hawashawiki na mashuga mamy?
Mi nadhani ni tabia tu ya wasichana kupenda vikubwa. Ukichunguza utakundua girls hawapendi guys wanaolingana in any means eg. Age, education, money,etc. This habit is a reason.
Habari wana jf. Eti kwanini wasichana wanawahi mapema kujiinvolve kwenye sexual affairs kuliko wavulana? Utakuta binti wa miaka 16 form 2 tu tayari kashayajua mapenzi. But most of boys inakuwaga love story tu, utakuta miaka 22 kamaliza high school ndo anaanza kuijua sex. Ni kwamba wavulana wanachelewa kujielewa ama mabinti ndo wanakimbilia mambo?
jibu maswali haya:-Habari wana jf. Eti kwanini wasichana wanawahi mapema kujiinvolve kwenye sexual affairs kuliko wavulana? Utakuta binti wa miaka 16 form 2 tu tayari kashayajua mapenzi. But most of boys inakuwaga love story tu, utakuta miaka 22 kamaliza high school ndo anaanza kuijua sex. Ni kwamba wavulana wanachelewa kujielewa ama mabinti ndo wanakimbilia mambo?
Mkuu ingekuwa vizuri ungeanza wewe kutuambia kwanza then wengine tutafuata.jibu maswali haya:-
1)wewe ulianza na umri gani kusex?
2) ulifanya na mtu wa umri gani?
3)nini kilikusababisha hadi ukasex?
4) wewe ni ke/me
Mi nafikiri wanaume ndio wanawahi maana wanaume wengi hawana uoga wa kujaribu jaribu mambo mapya. Lol
You're soundin quite right.ufuska tu, wanaume wanaanza kujua ufuska na hiyo 22, then wanaanza kufukuzia vi 16....routine inajirudia..we unafikiri eti wanaanzaa mapema, kuchelewa kwa wanaume kuanza ndo kunawafanya wanawake waanza mapema dot
Utakuwa huna dada/mdogo wa kike ww that's a reason.haya bana.
Risechi imefanyika wapi hii?