EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Nimekutana na wanawake wengi, na wanasema wanapenda sana wanaume wa kisukuma sijajua kwann wanapenda?
Nimesoma sehemu sijui kama inaweza kuwa ni sababu mojawapo. Kabila la Kisumkuma ni mifano ya makabila ambayo wanawake wakiteleza na kuzaa nje ya ndoa, wazee wa Kisukuma walikuwa wastaarabu sana kwa kuwa walikuwa wakiwafichia siri wake zao hususan kwa kuwa walikuwa na msemo unaofanana na wa ndege kula mbegu za pera na kinyesi chenye mbegu kuangukia kwenye shamba la jirani na kuokota. "Nimilija atina ngunda" maana yake "anayelima kibarua kwa mtu siyo mmiliki washamba".