Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,323
Tunakoelekea tutaanza kuandamwa kama wadada wa Kichaga wanavyoandamwa humu kila siku.
Nitajie Wasukuma wanaopenda sifa ya matumizi na walio warahisi kudanganywa.
Mkuki kwa nguruwe. . . mtakoma!!CV ndo zinapakwa matope hivyo.