hivi kwanini wanaume huwachoka wake zao?

....rahisi sana basi tu sisi wenyewe tunayafanya magumu. Sasa kama mtu akikuchoka ufanyeje? Nawe mchoke, songa na life yako.
Unajua kwa nini huko nchi zilizoendelea divorce nyingi? Mambo kama hayo hakunagana kulazimisha mapenzi, penzi likifa basi kila mtu kivyake.


Ingewezekana kama hakuna mambo mengine yaliyokuwa yanaungana na ndoa yenu...ingawa vijana wa kileo wameweza, wanathubutu na wanasonga mbele ukiwaletea maneno maneno. I wish we could handle things differently
 
Tatizo ni kuoana mkiwa na expectations kubwa kubwa. Wanawake wengi wanafikiri wanaweza wakabadili mapungufu ya bf wake akiolewa. Tatizo anapoolewa anakuta hawezi kubadili kitu, inabaki hasira tuuu.
 
Sio hamu ya kurudi nyumbani tu inakwisha bali hata zile simu za mahaba huwezi kumpigia tena, maana anageuka kuwa ni sehemu ya kero.

Na sio simu tu, hata kumsogelea kwa bed inatisha, inabidi nijikunje mdhungu wa tatu na kuweka mpaka katikati asiniguse. Tena namwambia akae mbali maana tutamuharibu mtoto...
 
wanawake hawapaswi kulaumiwa peke yao kwenye tatizo hili; hata wanaume wanachangia pia kwa kutowajali wenzi wao, kutotoa matunzo yanayostahili, kuwaona wenzao kama tambara bovu (au 'kwisha kazi') hasa wakishazaa etc
 
mm nadhani wanawake wengi wakizaa huwa wanabadili attention yao na kuhamishia kwa watoto matokeo yake mwanaume anafeel abandoned, insecured and helpless.

pili wanawake wakishaolewa huwa wanajiachia na kuwa wanene kupitiliza na matokeo yake wakiwa kitandani wengi wao wanashindwa kuwajibika kutokana na uzito kuwazidi. wakiambiwa wapunguze uzito huwa hawataki/hawasikii, matokeo yake mwanaume anatafuta replacement

all in all kuwa na nyumba ndogo ni uovu na ni kufanya kosa kuu/uovu mkubwa ambao adhabu yake ni magonjwa ya zinaa kabla ya moto wa milele ufunuo 21.8, mathayo 25.41
 
hahahaaaa!!! smile nafa kwa kucheka eti kensa. umesahau pia. wanandoa wakishazoea hata chakula hawapiki kinapikwa na dada. hadi mume anasahau ladha ya chakula cha mumewe. ikifika weekend basi hasemi ngoja leo nipike, wala, jumamosi yuko salon, jumapili kichen party. mume anashinda bar, kama ana nyumba ndogo ndiko kwa kushinda, akipikiwe mahanjumati ya kumwaga. halafu mnalalamika mmechokwa, wakati nyie ndo mloanza kuwachoka waume zenu kwa kutowapikia. tena sio chakula cha mezani tu. ukipata katoto hata chakula cha usiku pia unazembea. sasa mwenzio akale wapi kama si nyumba ndogo yenye kujituma hadi basi.
halafu unasema mume kakuchoka wakati uchovu umeuanzisha mwenyewe kwa kudharau uliyofunzwa, na kudhani "si wangu, nishampata tayari." tafakari... chukua hatua...


kweli kuna wanawake wanajua kujiachia,alikuwa mrembo akishaolewa hata kuoga ni kwa kulazimishwa.
na mwanamke ukishapigwa gap na uwanja wa nje imekula kwako
kuna mama mwenye nyumba yangu mume wake ni boss ofsi flani huko town yaani ukimcheki hzo kucha tu utazimia,anadai eti mumewe anarudi saa tisa usiku
sasa sijui anataka awai kwa lipi while mtu hadi saa nane usiku hajaoga
anadai eti vipodozi vina kensa
sasa mumewe anakula venye kensa basi
 
hahahaaaa!!! smile nafa kwa kucheka eti kensa. umesahau pia. wanandoa wakishazoea hata chakula hawapiki kinapikwa na dada. hadi mume anasahau ladha ya chakula cha mumewe. ikifika weekend basi hasemi ngoja leo nipike, wala, jumamosi yuko salon, jumapili kichen party. mume anashinda bar, kama ana nyumba ndogo ndiko kwa kushinda, akipikiwe mahanjumati ya kumwaga. halafu mnalalamika mmechokwa, wakati nyie ndo mloanza kuwachoka waume zenu kwa kutowapikia. tena sio chakula cha mezani tu. ukipata katoto hata chakula cha usiku pia unazembea. sasa mwenzio akale wapi kama si nyumba ndogo yenye kujituma hadi basi.
halafu unasema mume kakuchoka wakati uchovu umeuanzisha mwenyewe kwa kudharau uliyofunzwa, na kudhani "si wangu, nishampata tayari." tafakari... chukua hatua...

Yaani kama upo...mama kuingia jikoni hata siku moja ni tatizo. Lini unampikia mmeo? Ndo hapo inapokula kwetu!
 
Kwasababu wengi ukipita mwaka baada ya kuolewa au wakishazaa wanabweteka. Wanadhani ndio mwisho wa kupendeza, kujiremba, kuongea taratibu, kudeka, kumbembeleza mume n.k
Maisha yanakua kama jeshini. . . amri na malalamiko ndio vinatawala. Ikishakua hivyo hata hamu ya kurudi nyumbani mume anakosa.


Hapo ndo huwa nakupendaga.....objectivity.......
Na sijui wanaambiwa kuwa ukizaa kwa mwanaume ndo unakua malikia....eti utakuta anataka kututumuka kana kwamba huo umama wake unaku-include na wewe mumewe....amri as if we kibaraka neno please ukirudi mletee baby kitu flani hakuna ye hajui....utasikia uje na maziwa ya mtoto yamekwisha.......haaapooo ndo duuuuuh sita na nusu usiku na mikopo ya maziwa unakuja nayo kwa sana


Enyi wake zetu kuzaa c kila kitu bana mjue mapenzi kwanza na watoto ni product yake.....ukigeuza hii formula tu ndo ushakuwa yaya tena......
 
Umeona eeh. Mimi nashangaa wanaosema wanaume wanawachoka wake zao as if wanawake nao hawana feelings. Ukweli ni kuwa tunachokana ila tofauti ni kuwa kwa sisi wanawake (tulo wengi) kutembea nje ya ndoa si solution ya mchoko huo. Ila hata sisi tunawachoka pia:juggle:

kujisahau ni one thing, lakini kuna wamama ambao wapo bomba mno lakini waume zao moto huko nje. ni litabia tu la watu
 
Hii nimeipenda ina kaukweli ndani. Take note kina dada
Kwasababu wengi ukipita mwaka baada ya kuolewa au wakishazaa wanabweteka. Wanadhani ndio mwisho wa kupendeza, kujiremba, kuongea taratibu, kudeka, kumbembeleza mume n.k
Maisha yanakua kama jeshini. . . amri na malalamiko ndio vinatawala. Ikishakua hivyo hata hamu ya kurudi nyumbani mume anakosa.
 
kweli kuna wanawake wanajua kujiachia,alikuwa mrembo akishaolewa hata kuoga ni kwa kulazimishwa.
na mwanamke ukishapigwa gap na uwanja wa nje imekula kwako
kuna mama mwenye nyumba yangu mume wake ni boss ofsi flani huko town yaani ukimcheki hzo kucha tu utazimia,anadai eti mumewe anarudi saa tisa usiku
sasa sijui anataka awai kwa lipi while mtu hadi saa nane usiku hajaoga
anadai eti vipodozi vina kensa
sasa mumewe anakula venye kensa basi

SMILE mbavu sinaa..kweli BOLINGO YA SEKA!!
 
Umeona eeh. Mimi nashangaa wanaosema wanaume wanawachoka wake zao as if wanawake nao hawana feelings. Ukweli ni kuwa tunachokana ila tofauti ni kuwa kwa sisi wanawake (tulo wengi) kutembea nje ya ndoa si solution ya mchoko huo. Ila hata sisi tunawachoka pia:juggle:
mmmm, mimi sitaki nimchoke wangu, maana sipati picha nikimchoka kama ntaweza kuvumilia kukaa naye. For my own sake, Mungu anisaidie lisinitokee
 
Umesema kweli kabisa Lizzy, wamama wanajisahau sana jamani, ndo sababu mimi huwa nasema nyumba ndogo haziwezi kwisha

Weeee unasemaje?? Zita isha hizo small house!!
We ngoja tuanze kufunga LUKU, uone jeuri yake!!
 
Sababu ni hizi----------- wanawake wengi hawajui kuutumia ulimi vizuri – Ukali, maneno * *ya mikato, matusi, ukaidi n.k. kwao ni mambo ya kawaida. Wengi wanatawaliwa na HASIRA na WIVU, akiona mumewe anacheka na mwanamke ni Kosa la jinai, mwanamke anafura wala hata hawezi kuongea, hali ya hewa inabadilika hata paka nyumbani wanatambua kuwa hali ni Mbaya.

2.* **Hufanya kazi kwa Moyo na Huamka alfajiri na mapemaKuna wanawake ambao ni wavivu kupindukia, inafika wakati hata kutandika kitanda anamtuma House Girl, wanaume ni rahisi sana kuvutwa na anayemhudumia kwa ukaribu, House girl akiandaa chakula, mara kitanda, mara maji ya kuoga, mara apige deki chumbani n.k. Haichelewi mwanaume kulipa fadhila kwa wema anaotendewa.

3.* *Ni msafi na anajua kuandaa mavazi yanayofaa kwa familia yakeKuna wanawake ambao ni wachafu – usishangae kukuta sufuria kwenye makochi, chumba cha kulala ni stoo ya nepi za mikojo na nguo chafu, wengine kuoga ni anasa. Mwanamke ni MAJI, sharti mwanamke awe msafi muda wote. Wanaume wote wanapenda Usafi, marashi hata ya mchina yasikose, Mwanamke hakikisha “Reception” inakuwa Safi na kuwa katika hali ya kumfanya Mume ajisikie kujipumzisha kwa Raha mstarehe.

4.* *Jali na timiza Mahitaji ya NDOA kwa mume wakoSulemani anasema mwanamke mwema “Taa yake haizimiki usiku”, kuna wanawake wavivu kwa swala hili, pia kuna wanaopenda kulipa visasi kwa kuwanyima waume zao huduma, utakuta wiki nzima mama apanda kitandani huku amevaa “KOMBATI” utafikiri ni askari anaenda vitani. Wanaume ni sawa na Mbuzi ambao hawachelewi kukata kamba wakikosa majani walipofungiwa. Fanya makosa yote, lakini usijefanya ujinga wa kumkomoa mume kwa kumnyima huduma ya Ndoa, hilo ni kosa la Jinai. Hakikisha huduma hizo zinaboreshwa, nenda na wakati ili mradi isiwe kinyume na taratibu za Mungu.

5.**** Mwanamke anatakiwa kujua kupika chakula kitamu, ambacho familia itafurahia.Wanawake wengi hasa wa siku hizi hawajui kupika, ndio maana utakuta wanaume wengi wanaishia kula hotelini au kwa mama ntilie, kama umetoka bara basi usione aibu kujifunza kwa watu wa pwani namna ya kuunga NAZI kwenye chakula. Akina mama ni wajibu wao kujifunza Mapishi, Mchicha peke yake unaweza kuwa na mapishi zaidi ya 10, wanaume wanapenda chakula chenye ladha “Test”, mfanye mume akumbuke chakula cha nyumbani.

6.**** Mwamini Mume wako,*wivu na hisia mbaya ni adui wa ndoa yako. Usitoe siri za ndoa yenu kwa mashoga au ndugu zako. Muda wote muombe Mungu akupatie hekima ya kuongea pindi tatizo linapotokea, Muombee mume wako ili Mungu amsaidie pia awe na Hekima ya kutunza Ndoa kwa Uadilifu na Upendo. *

CHEKI MANENO HAYA SASA MPAKA NIME SISIMKA...inanibidi nianze mpango wa kuoa,then kitaeleweka tuu.
Ee Mungu nisaidie.
 
Sababu ni hizi----------- wanawake wengi hawajui kuutumia ulimi vizuri – Ukali, maneno * *ya mikato, matusi, ukaidi n.k. kwao ni mambo ya kawaida. Wengi wanatawaliwa na HASIRA na WIVU, akiona mumewe anacheka na mwanamke ni Kosa la jinai, mwanamke anafura wala hata hawezi kuongea, hali ya hewa inabadilika hata paka nyumbani wanatambua kuwa hali ni Mbaya.

2.* **Hufanya kazi kwa Moyo na Huamka alfajiri na mapemaKuna wanawake ambao ni wavivu kupindukia, inafika wakati hata kutandika kitanda anamtuma House Girl, wanaume ni rahisi sana kuvutwa na anayemhudumia kwa ukaribu, House girl akiandaa chakula, mara kitanda, mara maji ya kuoga, mara apige deki chumbani n.k. Haichelewi mwanaume kulipa fadhila kwa wema anaotendewa.

3.* *Ni msafi na anajua kuandaa mavazi yanayofaa kwa familia yakeKuna wanawake ambao ni wachafu – usishangae kukuta sufuria kwenye makochi, chumba cha kulala ni stoo ya nepi za mikojo na nguo chafu, wengine kuoga ni anasa. Mwanamke ni MAJI, sharti mwanamke awe msafi muda wote. Wanaume wote wanapenda Usafi, marashi hata ya mchina yasikose, Mwanamke hakikisha “Reception” inakuwa Safi na kuwa katika hali ya kumfanya Mume ajisikie kujipumzisha kwa Raha mstarehe.

4.* *Jali na timiza Mahitaji ya NDOA kwa mume wakoSulemani anasema mwanamke mwema “Taa yake haizimiki usiku”, kuna wanawake wavivu kwa swala hili, pia kuna wanaopenda kulipa visasi kwa kuwanyima waume zao huduma, utakuta wiki nzima mama apanda kitandani huku amevaa “KOMBATI” utafikiri ni askari anaenda vitani. Wanaume ni sawa na Mbuzi ambao hawachelewi kukata kamba wakikosa majani walipofungiwa. Fanya makosa yote, lakini usijefanya ujinga wa kumkomoa mume kwa kumnyima huduma ya Ndoa, hilo ni kosa la Jinai. Hakikisha huduma hizo zinaboreshwa, nenda na wakati ili mradi isiwe kinyume na taratibu za Mungu.

5.**** Mwanamke anatakiwa kujua kupika chakula kitamu, ambacho familia itafurahia.Wanawake wengi hasa wa siku hizi hawajui kupika, ndio maana utakuta wanaume wengi wanaishia kula hotelini au kwa mama ntilie, kama umetoka bara basi usione aibu kujifunza kwa watu wa pwani namna ya kuunga NAZI kwenye chakula. Akina mama ni wajibu wao kujifunza Mapishi, Mchicha peke yake unaweza kuwa na mapishi zaidi ya 10, wanaume wanapenda chakula chenye ladha “Test”, mfanye mume akumbuke chakula cha nyumbani.

6.**** Mwamini Mume wako,*wivu na hisia mbaya ni adui wa ndoa yako. Usitoe siri za ndoa yenu kwa mashoga au ndugu zako. Muda wote muombe Mungu akupatie hekima ya kuongea pindi tatizo linapotokea, Muombee mume wako ili Mungu amsaidie pia awe na Hekima ya kutunza Ndoa kwa Uadilifu na Upendo. *

CHEKI MANENO HAYA SASA MPAKA NIME SISIMKA...inanibidi nianze mpango wa kuoa,then kitaeleweka tuu.
Ee Mungu nisaidie.
Hongera saaaana mapo.
 
kweli kuna wanawake wanajua kujiachia,alikuwa mrembo akishaolewa hata kuoga ni kwa kulazimishwa.
na mwanamke ukishapigwa gap na uwanja wa nje imekula kwako
kuna mama mwenye nyumba yangu mume wake ni boss ofsi flani huko town yaani ukimcheki hzo kucha tu utazimia,anadai eti mumewe anarudi saa tisa usiku
sasa sijui anataka awai kwa lipi while mtu hadi saa nane usiku hajaoga
anadai eti vipodozi vina kensa
sasa mumewe anakula venye kensa basi


daaha hiyo ya mama mwenye nyumba yako nimeipenda! looh kazi kwelekweli
 
im really curious, kwanini wanaume huwachoka wake zao na kutafuta kazi za nje? kama wanawake tunaweza kuwa waaminifu kwanini nyie mshindwe?
mtu anakuzalisha alafu ukisha haribika mwili, anatafute waschan wadogo, inauma sana. au wanadhani wao hawa haribiki? hata wanaume hupata kitambi na kua na mwili mbaya but wanawake huvumilia na kuendelea kumpenda.
kuna solution ya hili, kumfanya mwenzako asikuchoke?

Hivi kumbe Mwanamke akizaa anachakaa sana!!!! Nashukuru kwa taarifa hiyo.
 
im really curious, kwanini wanaume huwachoka wake zao na kutafuta kazi za nje? kama wanawake tunaweza kuwa waaminifu kwanini nyie mshindwe?
mtu anakuzalisha alafu ukisha haribika mwili, anatafute waschan wadogo, inauma sana. au wanadhani wao hawa haribiki? hata wanaume hupata kitambi na kua na mwili mbaya but wanawake huvumilia na kuendelea kumpenda.
kuna solution ya hili, kumfanya mwenzako asikuchoke?

I always hate generalisation, unajifanya kuwa kuna wanawake pia.
 
Back
Top Bottom