kujisahau ni one thing, lakini kuna wamama ambao wapo bomba mno lakini waume zao moto huko nje. ni litabia tu la watuUmesema kweli kabisa Lizzy, wamama wanajisahau sana jamani, ndo sababu mimi huwa nasema nyumba ndogo haziwezi kwisha
Kwasababu wengi ukipita mwaka baada ya kuolewa au wakishazaa wanabweteka. Wanadhani ndio mwisho wa kupendeza, kujiremba, kuongea taratibu, kudeka, kumbembeleza mume n.k
Maisha yanakua kama jeshini. . . amri na malalamiko ndio vinatawala. Ikishakua hivyo hata hamu ya kurudi nyumbani mume anakosa.
Sio hamu ya kurudi nyumbani tu inakwisha bali hata zile simu za mahaba huwezi kumpigia tena, maana anageuka kuwa ni sehemu ya kero.Kwasababu wengi ukipita mwaka baada ya kuolewa au wakishazaa wanabweteka. Wanadhani ndio mwisho wa kupendeza, kujiremba, kuongea taratibu, kudeka, kumbembeleza mume n.k
Maisha yanakua kama jeshini. . . amri na malalamiko ndio vinatawala. Ikishakua hivyo hata hamu ya kurudi nyumbani mume anakosa.
Unafahamu kinachoendelea ndani ya nyumba zao? au ukiona watu wanapendeza ndio unajuwa wanalala chumba kimoja?kujisahau ni one thing, lakini kuna wamama ambao wapo bomba mno lakini waume zao moto huko nje. ni litabia tu la watu
Sio hamu ya kurudi nyumbani tu inakwisha bali hata zile simu za mahaba huwezi kumpigia tena, maana anageuka kuwa ni sehemu ya kero.
im really curious, kwanini wanaume huwachoka wake zao na kutafuta kazi za nje? kama wanawake tunaweza kuwa waaminifu kwanini nyie mshindwe?
mtu anakuzalisha alafu ukisha haribika mwili, anatafute waschan wadogo, inauma sana. au wanadhani wao hawa haribiki? hata wanaume hupata kitambi na kua na mwili mbaya but wanawake huvumilia na kuendelea kumpenda.
kuna solution ya hili, kumfanya mwenzako asikuchoke?
...........akikuchoka, na wewe mchoke.
im really curious, kwanini wanaume huwachoka wake zao na kutafuta kazi za nje? Kama wanawake tunaweza kuwa waaminifu kwanini nyie mshindwe?
Mtu anakuzalisha alafu ukisha haribika mwili, anatafute wasichana wadogo, inauma sana. Au wanadhani wao hawa haribiki? Hata wanaume hupata kitambi na kua na mwili mbaya but wanawake huvumilia na kuendelea kumpenda.
Kuna solution ya hili, kumfanya mwenzako asikuchoke?
Kumbe mambo ni rahisi sana.
wape wape vidonge vyao,wakimeza wakitema ni shauri yao..............................
nasema nyumba ndogo haziwezi kwisha