Hivi kwanini vijana hatupendani...?

KikulachoChako

JF-Expert Member
Jul 21, 2013
17,924
32,120
wasalaam wakuu.....nashindwa kuelewa wakuu...kuna jamaa yangu mmoja tunakaa naye kitaa ambaye mwenzetu yupo kwenye ajira hapo bandarini..sasa kumbe jamaa kaambiwa atafute vijana kama kumi wa deiwaka..jamaa hakutueleza wala nini yeye kauchuna wakati yeye mwenyewe anaona watu wanavyosugua benchi maskani..mpaka makalio yameota sugu.....sasa nashindwa kuelewa kuwa ni roho mbaya au..nini,?
 
wasalaam wakuu.....nashindwa kuelewa wakuu...kuna jamaa yangu mmoja tunakaa naye kitaa ambaye mwenzetu yupo kwenye ajira hapo bandarini..sasa kumbe jamaa kaambiwa atafute vijana kama kumi wa deiwaka..jamaa hakutueleza wala nini yeye kauchuna wakati yeye mwenyewe anaona watu wanavyosugua benchi maskani..mpaka makalio yameota sugu.....sasa nashindwa kuelewa kuwa ni roho mbaya au..nini,?

labda hamueleweki........
 
Umejuaje sasa ....?
Kuna mzee aliyempigia pande jamaa hapo bandari...vijana walipomuona anapita na gari yake wakampiga mkono na kuanza kulia lia kuhusu michongo ya kazi..ndipo mzee alipoanza kuwashangaa vijana...akawaambia mbona mimi nilimuagiza***** aniletee vijana..kumi na tano..wote wakashangaa...
 
Kuna mzee aliyempigia pande jamaa hapo bandari...vijana walipomuona anapita na gari yake wakampiga mkono na kuanza kulia lia kuhusu michongo ya kazi..ndipo mzee alipoanza kuwashangaa vijana...akawaambia mbona mimi nilimuagiza***** aniletee vijana..kumi na tano..wote wakashangaa...

Ukisema vijana hatupendani unakosea!
Huyo kijana wenu wivu, choyo, roombaya vinamsumbua!
Anahisi angewapeleka mungekua juu zaidi yake!
Roo mbaya haitegemei UMRI, mbona kama unajua kusoma mchezo roombaya anatambulika tangia mtoto from 5yrs to 10yrs! Na haimanishi akiwa mzee ataacha!
...
Ivi unajua kwa nini wazee wengi ni WACHAWI?
 
Mkuu huyo mzee alikueleza sifa ya vijana wanaohitajika?

Kazi za bandarini ambapo mara nyingi huwa ni ukuli inabidi uwe na mbavu na uaminifu...

Kuna mzee aliyempigia pande jamaa hapo bandari...vijana walipomuona anapita na gari yake wakampiga mkono na kuanza kulia lia kuhusu michongo ya kazi..ndipo mzee alipoanza kuwashangaa vijana...akawaambia mbona mimi nilimuagiza***** aniletee vijana..kumi na tano..wote wakashangaa...
 
wasalaam wakuu.....nashindwa kuelewa wakuu...kuna jamaa yangu mmoja tunakaa naye kitaa ambaye mwenzetu yupo kwenye ajira hapo bandarini..sasa kumbe jamaa kaambiwa atafute vijana kama kumi wa deiwaka..jamaa hakutueleza wala nini yeye kauchuna wakati yeye mwenyewe anaona watu wanavyosugua benchi maskani..mpaka makalio yameota sugu.....sasa nashindwa kuelewa kuwa ni roho mbaya au..nini,?

Uhusiano wenu na huyo kijana ukoje? Na tabia zenu pia zikoje? Mna sifa gani mtaani? Ni bangeeee na nyie masaa yoote au kweli nyie ni watu wa kujituma?! Maana usije kuwa unalaumu wakati tatizo limeanzia kwenu!
 
Uhusiano wenu na huyo kijana ukoje? Na tabia zenu pia zikoje? Mna sifa gani mtaani? Ni bangeeee na nyie masaa yoote au kweli nyie ni watu wa kujituma?! Maana usije kuwa unalaumu wakati tatizo limeanzia kwenu!

hili nalo neno
 
Uhusiano wenu na huyo kijana ukoje? Na tabia zenu pia zikoje? Mna sifa gani mtaani? Ni bangeeee na nyie masaa yoote au kweli nyie ni watu wa kujituma?! Maana usije kuwa unalaumu wakati tatizo limeanzia kwenu!
hamna mkuu..sisi ni watu wa kazi hata mwenyewe analitambua hilo...coz longtime wakati yupo chokambaya...tulibeba naye zege na kuchimba mitaro but mshikaji zali likamdondokea akapata kazi kama hiyo..so anafahamu sisi ni watu wa kazi...kuhusu elimu kwa issue hiyo ambayo jamaa katubania ilikuwa at least mtu wa form 4 tu..sifa ambayo watu wengi wanayo pale maskani..sasa kwanini jamaa kaamua kutubania..?
 
hamna mkuu..sisi ni watu wa kazi hata mwenyewe analitambua hilo...coz longtime wakati yupo chokambaya...tulibeba naye zege na kuchimba mitaro but mshikaji zali likamdondokea akapata kazi kama hiyo..so anafahamu sisi ni watu wa kazi...kuhusu elimu kwa issue hiyo ambayo jamaa katubania ilikuwa at least mtu wa form 4 tu..sifa ambayo watu wengi wanayo pale maskani..sasa kwanini jamaa kaamua kutubania..?

Kama ni hivyo kuna kitu nyuma yake. Either hataki na nyie mfanikiwe kutokana na kukosa moyo wa huruma na kusaidia au kuna mambo ambayo anayafanya si mazuri na kukuleteni nyie kazini kwake kunaweza kuya-expose mtaani na hivyo kumchafulia jina.

Endeleeni kutafuta kazi kwa bidii huku mnaumana na kupigana na maisha kwa kufanya vibiashara vidogo vidogo, bila kumsahau Muumba kwa maombi na dua, kwa wakati wake, kama alivyomsaidia mshkaji wenu, anaweza kuwakumbuka na nyie pia kwa namna tofauti. Msilaumu sana, bali mshukuru Mungu kwa yote, maana hamuwezi kujua kuwa hata kuwabania hiyo nafasi hapo kazini, kawaepusha na jambo gani. Poleni sana.

All the best,

Babu HP.
 
wasalaam wakuu.....nashindwa kuelewa wakuu...kuna jamaa yangu mmoja tunakaa naye kitaa ambaye mwenzetu yupo kwenye ajira hapo bandarini..sasa kumbe jamaa kaambiwa atafute vijana kama kumi wa deiwaka..jamaa hakutueleza wala nini yeye kauchuna wakati yeye mwenyewe anaona watu wanavyosugua benchi maskani..mpaka makalio yameota sugu.....sasa nashindwa kuelewa kuwa ni roho mbaya au..nini,?


Sio lazima ufanye kazi ya kuajiriwa/ Kuna shughuli nyingi tu unaweza kufanya/ lakini vijana hawataki kujituma. Fanya ufugaji/kilimo au biashara ni wazo mtambuka hilo
 
kashawaona vijana mmeonekana mnapiga soga tu kijiweni badala ya kujishughulisha ndio maana kaona awatose msije muaibisha
 
wasalaam wakuu.....nashindwa kuelewa wakuu...kuna jamaa yangu mmoja tunakaa naye kitaa ambaye mwenzetu yupo kwenye ajira hapo bandarini..sasa kumbe jamaa kaambiwa atafute vijana kama kumi wa deiwaka..jamaa hakutueleza wala nini yeye kauchuna wakati yeye mwenyewe anaona watu wanavyosugua benchi maskani..mpaka makalio yameota sugu.....sasa nashindwa kuelewa kuwa ni roho mbaya au..nini,?
Atakuwa mnyantuzu tu huyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom