Amiliki
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,085
- 1,004
Alinistua sana! Nasema Alinistua sana! Eti akiwa Jaji Mkuu, Mh. Augustino Ramadhani alipewa maagizo ya kutoa hukumu na "Wakubwa" ili iende kwa jinsi wanavyotaka wao ni kwa kuzingatia Weledi wa kazi yake!
Naogopa kumshitaki Mkubwa hata mtoto wake hata kama nikiwaona wananiulia Mzazi wangu kwa kuhofia hukumu ya kupangwa kwa jinsi alivyoelekezwa Jaji inaweza ikanifanya mimi ndie mwenye hatia.
Je kweli Watanzania tumefika hapo! Kweli Sofia Simba alisema kama nchi ingekuwa na utawala wa sheria Ole Sendeka angekuwa ndani siku ile CCM walipomjia juu Sitta. Kumbe kweli huyu mama anajua mengi kuhusu kutokuwepo kwa utawala wa sheria.
Nawakilisha.
Naogopa kumshitaki Mkubwa hata mtoto wake hata kama nikiwaona wananiulia Mzazi wangu kwa kuhofia hukumu ya kupangwa kwa jinsi alivyoelekezwa Jaji inaweza ikanifanya mimi ndie mwenye hatia.
Je kweli Watanzania tumefika hapo! Kweli Sofia Simba alisema kama nchi ingekuwa na utawala wa sheria Ole Sendeka angekuwa ndani siku ile CCM walipomjia juu Sitta. Kumbe kweli huyu mama anajua mengi kuhusu kutokuwepo kwa utawala wa sheria.
Nawakilisha.