mwambie huyo tanzania kwanza mbona analysis yake imekomalia uchaga ameacha cuf km kweli na cuf pia wachaga aseme.. Ila kwa kifupi naona km hana hoja ya msingi
cuf wao wanaambiwa chama chao ni cha wapemba!!! Mada hapa inamhusu mrema, mbowe na mbatia (mmm) wote hao ni wenyeviti wa vyama vikuu vya upinzani, na ningeshauri hawa wavuliwe uenyekiti kwa mfano, mwenyekiti wa chadema awe slaa, wa tlp atoke musoma na nccr atoke kigoma hapo ndipo itanoga lakini kuwaachia viongozi wote waandamizi watoke kilimanjaro! Hisia za uchagga hazitakoma!!!