Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,062
- 79,089
Ni jambo la kushangaza yale magazeti yetu ya dailynews na runinga za TBC wameacha kale ka mtindo cha kumuita Kikwete Dakta aka Dr Jakaya Kikwete! kulikoni? amenyang'anywa zile shahada zake za heshima? Mteendeeni haki kama mlivyoanza kuvumisha Udakta wake inabidi muendelee hivyo hivyo au la mnamshushia heshima ati! Ushahuri tu...la sivyo mtamfanya aanze safari za kusaka udakta mwingine this time atakatika mitaa ya China na Urusi! chonde chonde mpeni heshima yake!