Hivi kwanini cut-off point zimeshuka hapa?

Sasa wewe wa UDSM unapiga kelele hivi na kujiona una akili kuliko wenzako na kudai wa div 2 na 3 wasisome hapo,anayesoma Stanford ama Havard University asemeje?Hivi nyie mnajua kwanini mnasoma?!!
Hatusomei fashion,acheni mambo ya kisekondari hapa,unasoma ili uboreshe maisha yako na jamii inayokuzunguka kwa ujumla.Wangapi wamesoma UDSM na leo hii wanasota kitaa wakati waliosoma vyuo vingine mnavyovidharau wanapeta na kazi zao zenye mishahara ya kuwawezesha kuweka vijiwe Moven pick ama Kempisky!!
Watoto mtapotea kama hamjui malengo ya kusoma na ndoto zenu!
Naona bado mko enzi za kuwaringishia wenzenu kwamba kwenu mna Television!Hahahaha
 
Sasa wewe wa UDSM unapiga kelele hivi na kujiona una akili kuliko wenzako na kudai wa div 2 na 3 wasisome hapo,anayesoma Stanford ama Havard University asemeje?Hivi nyie mnajua kwanini mnasoma?!!
Hatusomei fashion,acheni mambo ya kisekondari hapa,unasoma ili uboreshe maisha yako na jamii inayokuzunguka kwa ujumla.Wangapi wamesoma UDSM na leo hii wanasota kitaa wakati waliosoma vyuo vingine mnavyovidharau wanapeta na kazi zao zenye mishahara ya kuwawezesha kuweka vijiwe Moven pick ama Kempisky!!
Watoto mtapotea kama hamjui malengo ya kusoma na ndoto zenu!
Naona bado mko enzi za kuwaringishia wenzenu kwamba kwenu mna Television!Hahahaha

hapa udsm shule imekua ya kijinga sana,me nashangaa hao wanao wadharau wenzao cjui wao wana nin cha maana vichwani mwao zaidi ya mbwembwe tu!
 
usiwe mbinafsi hao wenye div. 3 hawastahili kusoma?? Kwanini mnakuwa na fikra hasi? Elimu ni uwezo sio cheti kuweni na fikra pana.

swala hilo usinilahumu mimi,kama ingekuwa halali yangu ningewapeleka mpaka wa div 4 chuo sema ni taratibu za chuo kufix point zake wanazoitaji,ila mada inasema kwanini sasa wameamua kuteremsha na enzi zile zilikuwa juu?
 
Wanajukwaa hili la elimu ningependa tujadili sababu ya chuo kikuu mlimani kushusha cut-off point(kiwango cha chini kabisa kuingia chuo) katika miaka ya hivi karibuni na mpaka hivi sasa madaraja ya 2 na 3 ndio yamejaa ukilinganisha na miaka ya nyuma daraja la kwanza ndio kilikua chuo kile.

Tuchangie kwa lengo la kujua matatizo yanayo kikabiri chuo chetu kikongwe,Je ni ubovu wa uongozi? Idadi ya daraja za kwanza zinaishia wapi? Au taaluma zinazotolewa pale ni outdated kwahiyo wanafunzi wamegundua ndio maana wajanja hawakichagui? Au Wanafunzi wanafuata mashinikizo ya kaka na dada zao kuwa mlimani imebaki jina tu? Hoja yako inaitajika.

Jambo la msingi ni kuwa UD hawapendi kuendeleza utamaduni wake wa kutafuta fulsa ya kuwa miongoni mwa vyuo bora duniani. Kinataka kuwa chuo cha kutengeneza takwimu zaidi. Utawala wa sasa ungependa kuona sifa za UD zikishuka ili kukipa fulsa UDOM kuchukua nafasi ya chuo bora Tanzania na hivyo kupambana na vyuo vingine Duniani.
Lakini jingine ni mfumo mzima wa kudahili wanafunzi unaofanywa na TCU. Wanafunzi wengi wangepata uwakika wa kupata nafasi, na kwa kulingana na ushindani na preference za watanzania wengi uwakika wa kujoin UD ulipungua hata kwa watu wenye division 1 na 2 matokeo yake chuo kimejikuta kikiambulia patupu kutokana na kutokuwepo uwakika wa kupata fulsa.
Mwisho ni kutoa fulsa kwa watoto wa vigogo maana ni wachache miongoni mwao wenye uwezo wa kupata 1 au 2 hivyo kuwa ngumu kuingia UD ambapo bado wanasiasa wanaamini ni sehemu bora kwa familia zao kusoma kama hawakwenda nje. Hivyo kwa kupunguza fulsa zitakuwa ni za uwakika kutokana na ushawishi wa wakubwa. Hili linaonekana UDOM mtu anadivision 2 anaachwa kwenye kozi ile ile na badala yake anachukuliwa mtu wa division ya 3.
 
Kuna kitu kingine inabidi mjue UDSM shule ya hapo yaani wanabana kisawasa mpaka mtu anaondoka na GPA ambayo siye ya kwake.
Hizi habari nizakweli na wahitim wengi wa form6 wanaelezwa mtaani then wanaona isiwe tabu.Nakumbuka TA mmoja huwa anatutisha kwamba yeye ndo anauwezo wa kukufanya upate duguri au usup!!
Sasa TA akishakuwa na mamlaka kama hayo unategemea nini? Mtu unaona ata kama umeonewa unaacha ku appeal kwani uwezi shinda.
Kuna jamaa tunapiga naye yaani mkiwa kwenye seminar wote mnakubali ata hawe prof au lect na TA kwenye coz anapiga 31,25,27 lakini UE makalai au plain gpa kicheko.WHY?mh uwezi pata jibu.
 
Kuna kitu kingine inabidi mjue UDSM shule ya hapo yaani wanabana kisawasa mpaka mtu anaondoka na GPA ambayo siye ya kwake.
Hizi habari nizakweli na wahitim wengi wa form6 wanaelezwa mtaani then wanaona isiwe tabu.Nakumbuka TA mmoja huwa anatutisha kwamba yeye ndo anauwezo wa kukufanya upate duguri au usup!!
Sasa TA akishakuwa na mamlaka kama hayo unategemea nini? Mtu unaona ata kama umeonewa unaacha ku appeal kwani uwezi shinda.
Kuna jamaa tunapiga naye yaani mkiwa kwenye seminar wote mnakubali ata hawe prof au lect na TA kwenye coz anapiga 31,25,27 lakini UE makalai au plain gpa kicheko.WHY?mh uwezi pata jibu.

we nae wa wapi,kwa hyo unataka na hapa udsm wawaachie ovyo kama hvo vyuo vyenu vya uchochoroni?
 
Kuna kitu kingine inabidi mjue UDSM shule ya hapo yaani wanabana kisawasa mpaka mtu anaondoka na GPA ambayo siye ya kwake.
Hizi habari nizakweli na wahitim wengi wa form6 wanaelezwa mtaani then wanaona isiwe tabu.Nakumbuka TA mmoja huwa anatutisha kwamba yeye ndo anauwezo wa kukufanya upate duguri au usup!!
Sasa TA akishakuwa na mamlaka kama hayo unategemea nini? Mtu unaona ata kama umeonewa unaacha ku appeal kwani uwezi shinda.
Kuna jamaa tunapiga naye yaani mkiwa kwenye seminar wote mnakubali ata hawe prof au lect na TA kwenye coz anapiga 31,25,27 lakini UE makalai au plain gpa kicheko.WHY?mh uwezi pata jibu.
Kuna ajabu gani hapo? Kwenye seminar na assignment ana-download na kudanganya lakini kwenye UE anabanwa hasa. UD remains the best quality university in Tanzania, may be even SUA and MUHAS. The rest are a bit better than dignified secondary schools. There is ample evidence.
 
Chuo bora ni kile kinachombadili mjinga awe mjanja, na sio chuo kinachowafanya wajanja waendelee kuwa wajanja.

Hapa UD tunaona watu kibao wanaingia kwa div 1 na wanadisco wakiwa first year, wapo waliokuwa na div 3 lakini wameondoka na GPA za maana. Chuo kinaangalia uwezo wako katika masomo uliyosoma o-level na a-level yanayoendana na course uliyoiomba na sio kuwa wanaangalia division yako tu. Kuna watu wa first year mwaka huu wamechaguliwa wasome sociology but walipoomba wabadilishiwe wapewe B.A economics but wamekataliwa kwa kuwa wanachoangalia sio division ni masomo ambayo yana uhusiano na unachotaka kusoma.
Wanajukwaa hili la elimu ningependa tujadili sababu ya chuo kikuu mlimani kushusha cut-off point(kiwango cha chini kabisa kuingia chuo) katika miaka ya hivi karibuni na mpaka hivi sasa madaraja ya 2 na 3 ndio yamejaa ukilinganisha na miaka ya nyuma daraja la kwanza ndio kilikua chuo kile.

Tuchangie kwa lengo la kujua matatizo yanayo kikabiri chuo chetu kikongwe,Je ni ubovu wa uongozi? Idadi ya daraja za kwanza zinaishia wapi? Au taaluma zinazotolewa pale ni outdated kwahiyo wanafunzi wamegundua ndio maana wajanja hawakichagui? Au Wanafunzi wanafuata mashinikizo ya kaka na dada zao kuwa mlimani imebaki jina tu? Hoja yako inaitajika.
 
Sasa wewe wa UDSM unapiga kelele hivi na kujiona una akili kuliko wenzako na kudai wa div 2 na 3 wasisome hapo,anayesoma Stanford ama Havard University asemeje?Hivi nyie mnajua kwanini mnasoma?!!
Hatusomei fashion,acheni mambo ya kisekondari hapa,unasoma ili uboreshe maisha yako na jamii inayokuzunguka kwa ujumla.Wangapi wamesoma UDSM na leo hii wanasota kitaa wakati waliosoma vyuo vingine mnavyovidharau wanapeta na kazi zao zenye mishahara ya kuwawezesha kuweka vijiwe Moven pick ama Kempisky!!
Watoto mtapotea kama hamjui malengo ya kusoma na ndoto zenu!
Naona bado mko enzi za kuwaringishia wenzenu kwamba kwenu mna Television!Hahahaha

asante mkuu wapake dawa washamba wa Elimu hao
 
Chuo bora ni kile kinachombadili mjinga awe mjanja, na sio chuo kinachowafanya wajanja waendelee kuwa wajanja.

Hapa UD tunaona watu kibao wanaingia kwa div 1 na wanadisco wakiwa first year, wapo waliokuwa na div 3 lakini wameondoka na GPA za maana. Chuo kinaangalia uwezo wako katika masomo uliyosoma o-level na a-level yanayoendana na course uliyoiomba na sio kuwa wanaangalia division yako tu. Kuna watu wa first year mwaka huu wamechaguliwa wasome sociology but walipoomba wabadilishiwe wapewe B.A economics but wamekataliwa kwa kuwa wanachoangalia sio division ni masomo ambayo yana uhusiano na unachotaka kusoma.

ufafanuzi huu nimeuelewa,maelezo yametosheleza.kusoma ni kuelewa na si kufaulu tu,div1,2na3 not more than a number
 
Wanajukwaa hili la elimu ningependa tujadili sababu ya chuo kikuu mlimani kushusha cut-off point(kiwango cha chini kabisa kuingia chuo) katika miaka ya hivi karibuni na mpaka hivi sasa madaraja ya 2 na 3 ndio yamejaa ukilinganisha na miaka ya nyuma daraja la kwanza ndio kilikua chuo kile.

Tuchangie kwa lengo la kujua matatizo yanayo kikabiri chuo chetu kikongwe,Je ni ubovu wa uongozi? Idadi ya daraja za kwanza zinaishia wapi? Au taaluma zinazotolewa pale ni outdated kwahiyo wanafunzi wamegundua ndio maana wajanja hawakichagui? Au Wanafunzi wanafuata mashinikizo ya kaka na dada zao kuwa mlimani imebaki jina tu? Hoja yako inaitajika.
UNAJUA MADHUMUNI YA CUT OFF POINT MKUU? HILI NDIO SWALI LA MSINGI KABISA KUJIULIZA SAWA
uongozi mbovu ni sawa ...
idadi daraja ya kwanza inaenda vyuo vingi kutokana na wigo wa vyuo kuongezeka na na perception ya migomo mlimani hili ni mfano mingi sana
wajanja ni watu gani kweli ? does it mean intelluctaul kama prof shivji ,luhanga .. malectucter wa coet wanaofundisha part time DIT HAWAONI HILI WAAMUE KUHAMIA TU HUKO
BE NEUTRAL UNAPOTAKA KUANZISHA MJADALA USHABIKI HAUTAKIWI MAADA INA MAANA KAMA UTAWEKA USHABIKI KANDO.. NIMESOMA MLIMANI MIAKA MINNE NAJUA VITU VINGI SANA KUHUSU KILE CHUO .
KUMBUKA SIASA ZISIZOKUWA NA MAANA ZINAENDELEA KUKITAFUNA HIKI CHUO...
 
Back
Top Bottom