Hivi kwanini cut-off point zimeshuka hapa?

HAMY-D

JF-Expert Member
Sep 18, 2011
7,149
3,817
Wanajukwaa hili la elimu ningependa tujadili sababu ya chuo kikuu mlimani kushusha cut-off point(kiwango cha chini kabisa kuingia chuo) katika miaka ya hivi karibuni na mpaka hivi sasa madaraja ya 2 na 3 ndio yamejaa ukilinganisha na miaka ya nyuma daraja la kwanza ndio kilikua chuo kile.

Tuchangie kwa lengo la kujua matatizo yanayo kikabiri chuo chetu kikongwe,Je ni ubovu wa uongozi? Idadi ya daraja za kwanza zinaishia wapi? Au taaluma zinazotolewa pale ni outdated kwahiyo wanafunzi wamegundua ndio maana wajanja hawakichagui? Au Wanafunzi wanafuata mashinikizo ya kaka na dada zao kuwa mlimani imebaki jina tu? Hoja yako inaitajika.
 
Matatzo mbambali ikiwemo kuporomoka kwa elimu na migomo ya mara kwa mara,kuanzishwa kwa utitiri wa vyuo vnavotoa degree yamechangia vijana wengi wanaomaliza form 6 kubadili mtazamo wao kuhusu udsm.ukiacha coet ambayo ndo mama wa engineering hapa nchini coz zngne kama za biashara au law,watu huwa wanaona btr wakasome kwngne so udsm ikajikuta haipokei maombi ya zle dv 1 mengi so wakawa hawana alternative zaidi ya kushusha cut off points zao ili waweze kupata wanafunzi wengi.
 
Matatzo mbambali ikiwemo kuporomoka kwa elimu na migomo ya mara kwa mara,kuanzishwa kwa utitiri wa vyuo vnavotoa degree yamechangia vijana wengi wanaomaliza form 6 kubadili mtazamo wao kuhusu udsm.ukiacha coet ambayo ndo mama wa engineering hapa nchini coz zngne kama za biashara au law,watu huwa wanaona btr wakasome kwngne so udsm ikajikuta haipokei maombi ya zle dv 1 mengi so wakawa hawana alternative zaidi ya kushusha cut off points zao ili waweze kupata wanafunzi wengi.

umeongelea ishu za migomo na uanzishwaji wa vyuo vingine sanasana vya biashara ndio vimesababisha wanafunzi wengi waende vyuo vingine,Je unaelezeaje suala la mitaala ya hapo na kudorola kwa course nyingi mpaka admission capacity ya baadhi ya hizo course kufikia watu 300?
 
Wanajukwaa hili la elimu ningependa tujadili sababu ya chuo kikuu mlimani kushusha cut-off point(kiwango cha chini kabisa kuingia chuo) katika miaka ya hivi karibuni na mpaka hivi sasa madaraja ya 2 na 3 ndio yamejaa ukilinganisha na miaka ya nyuma daraja la kwanza ndio kilikua chuo kile.

Tuchangie kwa lengo la kujua matatizo yanayo kikabiri chuo chetu kikongwe,Je ni ubovu wa uongozi? Idadi ya daraja za kwanza zinaishia wapi? Au taaluma zinazotolewa pale ni outdated kwahiyo wanafunzi wamegundua ndio maana wajanja hawakichagui? Au Wanafunzi wanafuata mashinikizo ya kaka na dada zao kuwa mlimani imebaki jina tu? Hoja yako inaitajika.

Haupo Sahihi Mkuu, sahihi ni kwamba wenye Division 1 ndio waliokuwa wanapata udhamini wa serikali, wenye division3 walikuwa wengi na waliingia kwa kujilipia gharama wao binafsi.
 
Kwa uelewa wangu ni kuwa,sasa hivi serikali imekuwa inaviwekea vyuo vyake vikuu idadi ya wanafunzi ambao inapaswa kudahili kila mwaka. Sasa ukitazama hata unaposema idahili wanafunzi wa div. 1 tu utakuta hata idadi ambayo inapaswa kuwadahili haifikii kile kiwango. Alafu pia hata kiwango cha kufaulu nacho kimeshuka,sasa chuo kitakapokuwa kinadahili wanafunzi wa Div.1 pekee utakuta,ni kama wengine hawatendewi haki.
 
Ushasema zamani,vyuo vilikua vichache sana,hakuna cha siasa wala nini,unaweza ukaja na one na ukakamatwa na malecture,kaka zangu wa 3 year wamedisco juz na walikua na one,ukija chuo unaanza upya,mambo ya one ni ilikua sb tz enzi hizo watu wote wanategemea ud tu.na kilionekana bora sb hakuna competition kiko che nyewe,sa hivi hakuna cha ud wala cha mlimani,kwanza wanaojinga ni wachache sana sb shule za f5 ni nyingi,na usinganganie cutoff mana gp ya ufaulu inabadilika na mwisho watu haaply ud mana kuna complication kibao,
 
naomba utuwekee trend ya cut off points kwa miaka ya karibuni ili tuweze kujadili kwa kutumia ushahidi

mfano telecom wamechukua mpaka mtu wa 2.10,bsc in computer science 3.13.bsc with computer science 3.15,pale conas ndio siandiki maana almost div 3 za pcb zote zimeishia pale.kuhusu coet ndio kabisa course kama electrical,civil na chemical processing ukiwa na div 2 lazima upate,div 1 zinaishia wapi mpaka hawa wa 2 wanapata huku admission capacity kwa enginieering ni almost watu 20 kwa coet?

Tele na computer science hizo ni baadhi za course zilizo kuwa hot cake pale coict sasa huku kwingine sipaongelei maana kuna course za arts.
 
mfano telecom wamechukua mpaka mtu wa 2.10,bsc in computer science 3.13.bsc with computer science 3.15,pale conas ndio siandiki maana almost div 3 za pcb zote zimeishia pale.kuhusu coet ndio kabisa course kama electrical,civil na chemical processing ukiwa na div 2 lazima upate,div 1 zinaishia wapi mpaka hawa wa 2 wanapata huku admission capacity kwa enginieering ni almost watu 20 kwa coet?

Tele na computer science hizo ni baadhi za course zilizo kuwa hot cake pale coict sasa huku kwingine sipaongelei maana kuna course za arts.

nenda kule udbs na cass ukacheke hadi ufe.
 
NA NI KUA WATU WENGI UCHUMI WAO NI MZURI ANAONA AENDE HATA NJE,UD WANABANA HADI SASA.NAKUBALIANA NA WEWE ILA LAZIMA WASHUSHE POINT SB FUCULT KAMA LAW WATU WANAANA200 WANAMALIZA50,UKIENDA PRIVATE GPA ZA UKWELI,NA WATU HAWANGALII KAMA UMESOMA WAPI UNALIPWA MSHAHARA KUTOKANA NA ELIMU YAKO,KWA HIYO WATUWAMEONA NA WAMEOGOPA MANA UNAWEZA UKAOMA NA USIMALIZE,NA HATA UKIJA NA4 HAPA WALIMU WANABANA HAWAJWLEGEZA UZI MANA KILA KUKICHA WATU WANADOSCO,Imagine wakomae na mcutoff makubwa itabidi wasome wenyewe au wanafunzi watakua wachache,au wasiwepo mana je kama mwaka huo wat hawjafaulu utakomaa na mapointi ya juu,cha msingi vyuo viwe vingi sana kama nigria ila ubora wake wa udahili uzingatiwe.nawasilisha.
 
Hamy note kua sayansi matokeo yao hayakua mazuri hata arts kwa ujumla ufaulu upo chini sb starehe nyingi,zamani mtu akiendaf5 kaenda kweli,sa sku hizi kila kata inatakiwa iwe na shule ya advance,ila mnaonaje wabongo wakisoma wengi afu kazi ndo hizo za kurithishana kama utawala wakifalme,nini matokeo yake wadau
 
Ushasema zamani,vyuo vilikua vichache sana,hakuna cha siasa wala nini,unaweza ukaja na one na ukakamatwa na malecture,kaka zangu wa 3 year wamedisco juz na walikua na one,ukija chuo unaanza upya,mambo ya one ni ilikua sb tz enzi hizo watu wote wanategemea ud tu.na kilionekana bora sb hakuna competition kiko che nyewe,sa hivi hakuna cha ud wala cha mlimani,kwanza wanaojinga ni wachache sana sb shule za f5 ni nyingi,na usinganganie cutoff mana gp ya ufaulu inabadilika na mwisho watu haaply ud mana kuna complication kibao,

kweli we ni kiazi unajua SUA kimeanza mwaka gani ili useme zamani ilikuwa ud tu.
 
Ushasema zamani,vyuo vilikua vichache sana,hakuna cha siasa wala nini,unaweza ukaja na one na ukakamatwa na malecture,kaka zangu wa 3 year wamedisco juz na walikua na one,ukija chuo unaanza upya,mambo ya one ni ilikua sb tz enzi hizo watu wote wanategemea ud tu.na kilionekana bora sb hakuna competition kiko che nyewe,sa hivi hakuna cha ud wala cha mlimani,kwanza wanaojinga ni wachache sana sb shule za f5 ni nyingi,na usinganganie cutoff mana gp ya ufaulu inabadilika na mwisho watu haaply ud mana kuna complication kibao,

we kilaza em helewa mada mambo ya gpa hayajaongelewa hapa,na haimaanishi kuwa ukipata div 1 mbovu div 2 au div 3 heti wewe ndio taira au hauna akili it a big NO,lengo la hii thread ni kwanini cut-off za ud hazikubaki zilezile za enzi za 1990's na mwanzoni mwa 2000 zilivyo kuwa kubwa? Wakati madarasa na walimu viko fixed ila admission inakuwa doubled after each 5 years
 
Kilaza mwenyeweeeeee*10000000000000000000000000000000000000000000000000
 
usiwe mbinafsi hao wenye div. 3 hawastahili kusoma?? Kwanini mnakuwa na fikra hasi? Elimu ni uwezo sio cheti kuweni na fikra pana.
 
Back
Top Bottom