Zito ni ovyoooo.anashirikiana na magamba kuangamiza cdm
mbowe ana kesi zaidi ya nne mahakamani.ulitaka awe na kesi gani labda au ya kumbaka dada yako?Mbona Mbowe hajafunguliwa kesi? na yeye ni kada wa CCM nini?
Au Mbowe sio machachari?
Zito ni ovyoooo.anashirikiana na magamba kuangamiza cdm
Zito pekee ana akili timamu kule upinzani wengine bangi tu
Ukitaka upate laana ya milele mfungulie kesi ZITTO,
zitto ni smart,proactive politician of this era!
ZITTO for prezdaaaaaaaaaaaaaa 2015 ila sijui kama atapita kizuizi cha wamiliki wa taasisi!
Wana JF kuna jambo la kujiuliza kwa tabia ya CCM na jinsi walivyowafungulia kesi karibu wabunge wote machachari wa CHADEMA kwa nini Zitto hawamgusi zaidi wanashirikiana na kupongeza mara kwa mara na anaonekana kipenzi chao.
Umejidhalilisha sana mkuu!
mawaziri wanatetemeka bungeni kwa ajili ya zitto!
Zitto for presidency 2015 ila sidhani kama wahafidhina na wamiliki wa taasisi watamruhusu!
Hizi ni siasa au porojo?
kila mtu ana haki ya kujiunga jf..ila nina wasiwasi sana na nyie mnaojiunga hivi recently..maoni yenu yananipa wasiwasi sana kwenye harakati hizi za ukombozi wa tz!!!!!!umejidhalilisha sana mkuu!
Mawaziri wanatetemeka bungeni kwa ajili ya zitto!
Zitto for presidency 2015 ila sidhani kama wahafidhina na wamiliki wa taasisi watamruhusu!
Zito ni ovyoooo.anashirikiana na magamba kuangamiza cdm