hivi kwanini 'bongoflava' makini zilipigwa chini kipindi cha uchaguzi??

Sizinga

Platinum Member
Oct 30, 2007
9,100
6,022
wana JF hembu tudiscuss kidogo, au nyie wenzangu mlilionaje hili? zile nyimbo bomba za bongo flava zikizoonyesha mustakabli nzima wa maisha yetu kwa viongozi tunaowachagua hazikupigwa sana na baadhi ya radio stesheni nyingine hizi nyimbo hazijapigwa kabisa, na zina ujumbe nzuri tu: Mfano:

1. Nyimbo ya Prof. Jay-Ndio mzee
2. Nyimbo ya Roma-Mr. President
3. Nyimbo ya Juma Nature-Muungano CCM na CUF
4. Nyimbo ya Nakaaya.

na nyinginezo.....so ina maana hali hii itakuwa hivyohivyo hata kama wasanii watajitahidi kuleta challenge kwa serikali lakini pini zitabaniwa at the time of election??? Tujadili
 
Back
Top Bottom