Akisha kupata utaona mapenzi yanapungua, halafu atajitokeza mwingine kukuganda tena...these thinx generate themselves,
hivi kwa nini utakuta unayempenda hana mapenzi na wewe,lakini usie mpenda uwiiii yani anakuganda mpaka basi...kwa nn?
hivi kwa nini utakuta unayempenda hana mapenzi na wewe,lakini usie mpenda uwiiii yani anakuganda mpaka basi...kwa nn?