Ndio matatizo ya "MADEMU" hayo. Embu kua na msichana, mdada,mwanamke uone kama atakua hivyo.
Kama hujui endelea tu kutokujua.lizzy vipi...!? tofauti yao iko wapi..? wote wakianza wameanza tu tena majimama yanakuaga na kisirani kabisaaa...! sasa mwanangu jana si ulikua na hamu ya nyama....! yani sasa hivi imenikaa kinyama ndio naelekea maeneo ya sinza nikachague wapi ni break nitimize mutima wangu manake hapa hali ni ngumu eeeyaoouuuwiiiiiii....! twende zetu mamaaa ila ndio tf akiniona ni kwamba nimekwisha....!
Ww ndo uko selfish basi tu hujistukii! Ngoja ukue, uoe then mpate watoto. Upate demu-mke ambae mtoto akilia anakuambia 'darling,mpe huyo mtoto maziwa, si unaona namalizia isidingo?'
Kama hujui endelea tu kutokujua.
Hehehe kuhusu nyama niloshatuliza hamu kwa kitifire mchana kwahiyo we nenda tu.Labda kama kuna mihogo ya kukaanga na kachumbari uniambie.
Twende zetu koko bichi
au foroshani zenji
na urojo wa maana
Ndio matatizo ya "MADEMU" hayo. Embu kua na msichana, mdada,mwanamke uone kama atakua hivyo.
Tatizo hapa ni hilo neno demu au!? lugha za watu hizi nazo,haya! Demu (dame) = "Slang term for any woman"
Hiyo ni moja tu ya maana japo zipo nyingi,so hata huyo mwanamke,mdada au msichana still ni demu tu.....
Ww ndo uko selfish basi tu hujistukii! Ngoja ukue, uoe then mpate watoto. Upate demu-mke ambae mtoto akilia anakuambia 'darling,mpe huyo mtoto maziwa, si unaona namalizia isidingo?'
Tatizo hapa ni hilo neno demu au!? lugha za watu hizi nazo,haya! Demu (dame) = "Slang term for any woman"
Hiyo ni moja tu ya maana japo zipo nyingi,so hata huyo mwanamke,mdada au msichana still ni demu tu.....
Si lazima kuwa na demu. Waweza kuchagua demu au mpira na maisha yakaendelea.