ukipiga chabo unafurahia tena unaona raha kuliko anayecheza, mfano unapoangalia picha u enjoy the most kuliko wale wahusika wenyewe
Imenichukua masaa kazaa kutafaka uelewa wa Saidi Mwema kuhusu kazi ya polisi kwa tukio na nguvu alizotua juzi kupambana na wananchi wa Arusha, hii inaonyesha saidi mwema hajui nini kazi ya polisi na uwepo wake, la lingine wakati huu ambapo tupo katika harakati za kuandika katiba mpya inaonyesha kiasi gani hata hao vijana wa Mwema walivyo na upungufu wa elimu ya uraia, na cha ziada kuona askali wengi hawajui shelia ingawa kazi zao ni zinawaushisha na sheria.
R u posting as a result of your own experience?
Imenichukua masaa kazaa kutafaka uelewa wa Saidi Mwema kuhusu kazi ya polisi kwa tukio na nguvu alizotua juzi kupambana na wananchi wa Arusha, hii inaonyesha saidi mwema hajui nini kazi ya polisi na uwepo wake, la lingine wakati huu ambapo tupo katika harakati za kuandika katiba mpya inaonyesha kiasi gani hata hao vijana wa Mwema walivyo na upungufu wa elimu ya uraia, na cha ziada kuona askali wengi hawajui shelia ingawa kazi zao ni zinawaushisha na sheria.
Kwa vijana wadogo tunaweza sema wanataka kujua mchezo unavyochezwa lakini kwa wakubwa sielewi wanatafuta nini.