Hivi kwa nini watu wanapenda sana kupiga chabo

SWADO

Member
Dec 11, 2010
83
2
Jamani watu wanapenda kupiga chabo, it seems wanafaidi indrectly jamaa mmoja alishawahi kuanguka baada ya kumaliza game sawa na mchezaji mpo hapo? Nauliza tu jamani?
 
ukipiga chabo unafurahia tena unaona raha kuliko anayecheza, mfano unapoangalia picha u enjoy the most kuliko wale wahusika wenyewe
 
Imenichukua masaa kazaa kutafaka uelewa wa Saidi Mwema kuhusu kazi ya polisi kwa tukio na nguvu alizotua juzi kupambana na wananchi wa Arusha, hii inaonyesha saidi mwema hajui nini kazi ya polisi na uwepo wake, la lingine wakati huu ambapo tupo katika harakati za kuandika katiba mpya inaonyesha kiasi gani hata hao vijana wa Mwema walivyo na upungufu wa elimu ya uraia, na cha ziada kuona askali wengi hawajui shelia ingawa kazi zao ni zinawaushisha na sheria.
 
Imenichukua masaa kazaa kutafaka uelewa wa Saidi Mwema kuhusu kazi ya polisi kwa tukio na nguvu alizotua juzi kupambana na wananchi wa Arusha, hii inaonyesha saidi mwema hajui nini kazi ya polisi na uwepo wake, la lingine wakati huu ambapo tupo katika harakati za kuandika katiba mpya inaonyesha kiasi gani hata hao vijana wa Mwema walivyo na upungufu wa elimu ya uraia, na cha ziada kuona askali wengi hawajui shelia ingawa kazi zao ni zinawaushisha na sheria.





Mh...!! Mjomba vipi tena?Chabo na Mwema wapi na wapi?
 
Kwa vijana wadogo tunaweza sema wanataka kujua mchezo unavyochezwa lakini kwa wakubwa sielewi wanatafuta nini.
 
Jamaa kapotea njia mwema na huku wapi na wapi jamani embu tumwelewesha anachanganya mambo sasa.
 
Sory paka mweui its tibe22 not you. You perfect my friend nimepitiwa kidogo
 
R u posting as a result of your own experience?

unafikiri hata kama kapiga yeye atasema?story nyengine humu,na hata kama zinawahusu wao utasikia rafiki yangu,jirani yangu,mtu hajitii yeye,labda ziwe za nyumba ndogo
 
Imenichukua masaa kazaa kutafaka uelewa wa Saidi Mwema kuhusu kazi ya polisi kwa tukio na nguvu alizotua juzi kupambana na wananchi wa Arusha, hii inaonyesha saidi mwema hajui nini kazi ya polisi na uwepo wake, la lingine wakati huu ambapo tupo katika harakati za kuandika katiba mpya inaonyesha kiasi gani hata hao vijana wa Mwema walivyo na upungufu wa elimu ya uraia, na cha ziada kuona askali wengi hawajui shelia ingawa kazi zao ni zinawaushisha na sheria.

makangrabasha!!!!1
 
mjomba umestukia unapigwa chapo nini? maana wanasema aisifuye mvua..............
 
Back
Top Bottom