Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,257
- 1,247
Ni kwa kudhani hao wanaume wanamiliki pesa zote zilizoko mle bank au ni kitu gani kingine?maana me nijuavyo wafanyakazi wa bank wanalipwa pesa ya kawaida tu.ebu wanawake fungukeni kwa sababu hapa mtaani kwetu kuna jamaa anapiga mzigo Nbc,anawagongaje!!
Wanaume tunaofanya kazi benk tuko smart ndo mana wanawake wanatumind halafu mbona wao ndo wanatupaga hela mkuu?