Hivi kwa nini wanawake wa siku hizi hawafahamu kupika vyakula vizuri

Umpende mwanamke na una hakika anakupenda alafu umuache sababu hajui kupika?? Acha hizo bana... Wee si unajua, it is better wamuoa... Wakati wa honey moon wamfundisha kupika na kila mkipata nafasi... mbona kupika easy kwa mtu yeyote ambae anataka kujua?? Utakua hujamtendea haki huyo mwanamke wala wewe mwenyewe...

unajua nn Adi mm kwangu kupenda sio sura tu na umbo peke yake kuna vitu vingi tu ikiwemo hilo mapishi, usafi,heshima, n.k n.k na kwangu b4 sijaoa lazima hayo yathibitike wazi sio unajiolea tu halafu nikateseke bure na mabalaa ndani ya ndoa. Kuna wanawake VICHWA NGUMU Adii ni yani balaa
 
Wewe Neng'uli unataka wapige namna gani? Maana sijawah ona m2 anayepiga vitafunwa labda uwafundishe
HApa nyumbani kwangu hawawezi kupiga vitafunwa, yupo Wife, msichan wa kazi, na mama mkwe wote hakuna kitu.
Sasa huwa nasimama hapa uwanjani natukana wote akiwemo mzaaa hiyo kitu,
 
Haahaaaaa! Ingekuwa sijaishi Tanga ningedanganyika na hiyo sentence yako eti 'kila kitu watoto wa kike wanafundishwa'. Mtu yeyote kutoka sehemu yoyote anaweza kusema hivyo...

Umeishi Tanga ipi ww? Kule mtoto b4 hajenda shule asubuh lazima aoshe vyombo, apige deki na usafi mwingine then aende skul huyo ni binti wa primary anarudi mchana saa 6 kwa lunch na akifika tu mboga mzazi anakua kapika so mtoto akija anasonga ugali watu wanakula then saa 8 anarudi zake shule.
Na chakula cha jioni ni dogo anapika mwanzo mwisho.

Sasa subir afike rika la kuolewa uone twisheni yake, hapo mpaka masaji dogo lazima apigwe full course ya kulea mume.

Tatizo malezi mkuu. Wapo walioa wake zao kufua chupi zao tu tabu sembuse kulangiza!
 
Hote management college mnazitumiaje? I see mimi siwezi kushindwa kupika niko radhi nikakope hela kwa mtu nilete watu watatu wanifudishe kupika.

Siyo malezi ya wazazi ni malezi tuliyojiea wenyewe.
 
Sio wa pwani lakini samtaimu anakwenda kwenda kwenye vitarabu, lakini sku hizi bana hata hao wa pwani ni zero, unakuta mdada hata kuchemsha mayai hajui. halaf ukimwambia ajitahidi anakujibu kijeuri "babu wee kaowe rice cooker kama unataka mapishi" na hako kasuala inakuwa sababu ya kunyimwa unyumba sku nne. Khaaa! Tutauwana wajameni!

haah haah haah tatizo mnataka kuoa watoto matawi hayo lazima yawakute.

Demu mwenye akili hizo sausage angenunua tu nyama nusu kilo then akaifanyia makeke.
Hiyo rosti yake baba lazima ukahadithie.
 
Hote management college mnazitumiaje? I see mimi siwezi kushindwa kupika niko radhi nikakope hela kwa mtu nilete watu watatu wanifudishe kupika.

Siyo malezi ya wazazi ni malezi tuliyojiea wenyewe.

CD
ni malezi tu unajua kuna wazaz wengine wanalea watoto kama yai.
Hatak kabisa mwanae apike wala afue eti anaona kama ni kumfanya mtumwa.
Wanasahau kuwa kazi kama hizo utoto zinamjengea mtoto future ya ukubwani.
Mapishi ni fani na sanaa.
 
unajua nn Adi mm kwangu kupenda sio sura tu na umbo peke yake kuna vitu vingi tu ikiwemo hilo mapishi, usafi,heshima, n.k n.k na kwangu b4 sijaoa lazima hayo yathibitike wazi sio unajiolea tu halafu nikateseke bure na mabalaa ndani ya ndoa. Kuna wanawake VICHWA NGUMU Adii ni yani balaa


hahahahah.... Hapo nimekupata....lol... BEST OF LUCK kumpata mke mwema....
 
Mpata umenena kweli mkubwa 1 tym nilifika tanga ebwana pamoja na maujuzi yangu kwenye mapish mwenyewe niliinua mikono... Maana mim ni mgumu sana kukubali kuwa kimepikwa vizuri yote hii namshukuru mama yangu mzazi japo mi mwanaume najua kupika sasa nipate mtu sifuri kwenye mapishi mmmh!!
haah haah haah Adi yani kweli mtihani wangu then nowdays ndo inakua tabu zaidi bt tunajizuia tu.

Abt topic dah kwa sie wa tanga kila kitu watoto wa kike wanafundishwa tena tangu wadogo, hata mm ni male ila najua kupika pia ila mke bila mapishi kwangu ni zero na hata kama nitampenda i cnt marry her. Mwanamke mapishi bibie na kujua kumtunza mume
 
thanx Adii hoping mpaka mwakani mwishoni hv nitakua nishajaliwa binti mwema anaefaa kuwa ubavu wangu then Ndoa. Uhudhurie bila kukosa.


Tuombe uzima.... Hata bahati mbaya hata kama sio kuhudhuria... walau kuwajibika hata kama indirectly...
 
Tuombe uzima.... Hata bahati mbaya hata kama sio kuhudhuria... walau kuwajibika hata kama indirectly...

haaah haah napenda uhudhurie kabisaa afu afta honeymoon. Wife aandae misosi then uje uonje mapishi yake uniambie.
 
Mpata umenena kweli mkubwa 1 tym nilifika tanga ebwana pamoja na maujuzi yangu kwenye mapish mwenyewe niliinua mikono... Maana mim ni mgumu sana kukubali kuwa kimepikwa vizuri yote hii namshukuru mama yangu mzazi japo mi mwanaume najua kupika sasa nipate mtu sifuri kwenye mapishi mmmh!!

sasa kule ukioa huwa kabla hujachukua mke kumtoa kwao kunakuwa na Karamu maalum kama kudhihirisha kuwa wao ni nani katika mapishi hapo ndugu wa mume mnaitwa kwa mke kumchukua mkue then mkifika mnakuta kumeandaliwa aina toauti tofauti za chakula wamepanga kwenye mikeka.

Halafu juu kuna wanawake wameshikilia shuka. Sasa mkifika mnanawishwa then mnapitishwa huko chini ya shuka unakuta mikeka imechafuka mahanjumati ya hatari, samaki tu anakua mapishi aina tatu, sijui wa kuokwa,wa kupakwa,wa mchuz n.k. Nyama inapikwa mapishi aina nne,ugali,biriani, wali, sijui chai, uji, sambusa,bagia, taka taka zote yani dah then mkiwa chini ya shuka mnakula mihanjumati hiyo wadada juu wanaimba mashair yao kuwa mnachokula huko chini ya shuka wamepika wao kwa kushirikiana na mkeo dah ili mradi tu kuwaonyesha kwamba wao kwa mapishi ni hatari.
 
kuwa na house girl hiyo sio tatizo! Shida kubwa kinadada wengi wamekuwa wavivu na hawajitumi wala hawana ubunifu.

wanajituma kwenye kuzurura meen! Et unakuta mtu kaolewa anamwambia mumewe mie siwez kufua au kupika kucha zangu ztavunjika!! Heheheheee unarudi makwenu naenda kusaka mke mwungine kwakweli!lol
 
hapa nyumbani kwangu hawawezi kupiga vitafunwa, yupo wife, msichan wa kazi, na mama mkwe wote hakuna kitu.
Sasa huwa nasimama hapa uwanjani natukana wote akiwemo mzaaa hiyo kitu,
mkwe nae
unamtusi lol!! Ndo madhara ya wakwe wanaopenda kuishi na watoto zao
 
Nakumbuka home tulikuwa na house girl lakini alikuwa hagusi nguo zetu tulikuwa tunajifulia wenyewe na kufanya usafi wenyewe
Bi mkubwa wako inaonekana alipitia JKT kama wa kwangu, No hg kugusa nguo ya mtu. Jmosi nilikua naomba nikatembelee ndugu kuepukana na balaa la nyumbani.
 
Muda muda; wengi wanajua sana kupika; tatizo muda.

Wachumi wanaita comparative advantage.

Ni umasikini tu, kuna nchi zilizoendelea asilimia kubwa ya familia wala hazipiki wanakula hotel kwani ni cheaper (in terms of time plus gharama) kuliko kupika home. Na chakula kama ni quality huko hotel sioni kwa nini kukimbizana jikoni.

Nilikuwa naongea na mdhungu mmoja leo akanambia kama si Singapore ni Hongkong ni ngumu kupata apartment yenye jiko kwani watu hawapiki hence nyumba hazijawa designed na jiko.

Hence kwa hao wanaotegemea housegirl apike mimi naona ulaya tu; unless mnaleta ligi kuwa to be a wife one has to cook.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom