miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,966
Yes...
Good for you
Yes...
Good for you
ndoa za siku hzi????? bora niwe msimbe tu
mi siogopi na siku ikifika nitakubali kuolewa tena kwa ujasiri mwingi. people want to fall into marriage and enjoy but instead they fall out of it soon after their great wedding ceremonies and suffer greatly in their hearts. we need to grow in marriages, preserve and sustain it with all purity while be willing to accept all associated risks and rewards under the Lord's care.
inashangaza watu hawataki kuolewa/kuoa lakini kuzini wako tayari 24/7. it seems that we are totally thinking out of our senses, away from Gods plan. ndoa ni mpango wa Mungu na si wa mwanadamu. kama Mungu alipotosha design ya ndoa, hakika mwanadamu hawezi kuinyoosha kwa akili zake. kumbukeni imeandikwa kuwa "kwa maana hekima ni ulinzi kama vile fedha ilivyo ulinzi; na ubora wa maarifa ni ya kwamba hekima humhifadhi yeye aliye nayo. tafakari vyema kazi yake Mungu kwa sababu ni nani awezaye kukinyoosha kitu kile alichokipotosha yeye?" (mhubiri 7:12-13).
Ugonvi au mfarakano kwenye ndoa ni kitu cha kawaida sana Husninyo. Isikukatishe tamaa. What matters is LOVE. Ukimpenda mtu hakuna kosa ambalo litakufanya ujutie kuolewa. Hata kama anatoka nje ya ndoa, kitendo cha wewe kugundua mara nyingi kinafanya penzi lenu lichanue upya. It is sometimes boring if you just live without conflicts.
Kwa mfano mimi mume wangu niligundua anatoka na mdada tena to my assessment could be "good looking" (think this is right word) than me na nikamwambia ahamie kwa kimada wake akagoma na kunipigia magoti nikajua kweli mume wangu kanizimia. From there I could measure how much my hubby loves me and I am still his number one wengine ni mapoozeo tu.
Niliweka private investigators kuona kama ana-muattend huyo dada na nafurahi kuwa amesitisha huduma.
Ugonvi au mfarakano kwenye ndoa ni kitu cha kawaida sana Husninyo. Isikukatishe tamaa. What matters is LOVE. Ukimpenda mtu hakuna kosa ambalo litakufanya ujutie kuolewa. Hata kama anatoka nje ya ndoa, kitendo cha wewe kugundua mara nyingi kinafanya penzi lenu lichanue upya. It is sometimes boring if you just live without conflicts.
Kwa mfano mimi mume wangu niligundua anatoka na mdada tena to my assessment could be "good looking" (think this is right word) than me na nikamwambia ahamie kwa kimada wake akagoma na kunipigia magoti nikajua kweli mume wangu kanizimia. From there I could measure how much my hubby loves me and I am still his number one wengine ni mapoozeo tu.
Niliweka private investigators kuona kama ana-muattend huyo dada na nafurahi kuwa amesitisha huduma.