Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,194
- 79,427
Wajameni naomba kuipongeza Mbeya Region (Municipal) na Arusha Council kwa kuona umuhimu wa egovernance
Na napenda kuuliza kwa nini municipals kama Moshi, council kama za Mwanza na kwingineko haswa kule kulipochukuliwa na Chadema wasiige
utaratibu huu wa kuwa na website kujitangaza haswa fursa za uwekezaji? Hebu tujiulize jiji la Mwanza na mji wa Moshi na mingineyo kulipo na utalii kuna fursa ngapi zinapotea kwa kutokuwa na website ya kuonyesha fursa za uwekezaji? just imagine Abravomich kabla hajaja kupanda mlima Kilimanjaro lazma aliingia google na ku-type Kilimanjaro....ni wangapi wa namna hiyo hufanya na how much of a waste opportunity does the region incur? Pls you guys wake up n play ur roles every municipals should have a website
http://www.mbeya.go.tz/
http://www.mbeya.go.tz/index.php?option=com_content&view=article&id=101&Itemid=116
http://www.arushamunicipal.go.tz/web%20pages/municipal_projects.htm
Na napenda kuuliza kwa nini municipals kama Moshi, council kama za Mwanza na kwingineko haswa kule kulipochukuliwa na Chadema wasiige
http://www.mbeya.go.tz/
http://www.mbeya.go.tz/index.php?option=com_content&view=article&id=101&Itemid=116
http://www.arushamunicipal.go.tz/web%20pages/municipal_projects.htm