MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,201
- 2,377
Sawa Dada yangu nakubaliana na wewe yote uliosema, sisi wengine JF ni Furaha tupu..kama thread yangu imekukwaza nisamehe dada yangu sirudii tena
Hata mimi najua JF ni furaha tupu ndio maana nilijimwaga kwa mawazo yangu, kumbe nikakukwaza, am sore....