Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wana JF...
Nimejaribu kufanya tafiti kidogo kwenye jambo hili kupitia kwa jamaa zangu wa karibu..
Katika tafiti zangu sehemu kubwa za nyumba zetu nimeona kina mama ndio wenye sauti kubwa ndani ya nyumba ya kimaamuzi..
Wanaume wengi tumekua hatuna sauti ndani ya nyumba zetu.
Hata vitu vidogo kuamua utamkuta mwanaume anasema mpaka wife aje ndio takuambia..
Hata watoto siku hizi matatizo yao wanawambia mama zao, huku wakiwacha baba zao..
Hivi kwa nini imekuwa hivyo kina mama ndio wanakuwa na sauti kuzidi kina baba..
Tujadili wakuu tupate kujua..
Nimejaribu kufanya tafiti kidogo kwenye jambo hili kupitia kwa jamaa zangu wa karibu..
Katika tafiti zangu sehemu kubwa za nyumba zetu nimeona kina mama ndio wenye sauti kubwa ndani ya nyumba ya kimaamuzi..
Wanaume wengi tumekua hatuna sauti ndani ya nyumba zetu.
Hata vitu vidogo kuamua utamkuta mwanaume anasema mpaka wife aje ndio takuambia..
Hata watoto siku hizi matatizo yao wanawambia mama zao, huku wakiwacha baba zao..
Hivi kwa nini imekuwa hivyo kina mama ndio wanakuwa na sauti kuzidi kina baba..
Tujadili wakuu tupate kujua..