Hivi kwa nini siku hizi nyumba nyingi kina mama ndio wenye sauti kuzidi kina baba?

Mshume Kiyate

JF-Expert Member
Feb 27, 2011
6,766
894
Wana JF...
Nimejaribu kufanya tafiti kidogo kwenye jambo hili kupitia kwa jamaa zangu wa karibu..

Katika tafiti zangu sehemu kubwa za nyumba zetu nimeona kina mama ndio wenye sauti kubwa ndani ya nyumba ya kimaamuzi..

Wanaume wengi tumekua hatuna sauti ndani ya nyumba zetu.

Hata vitu vidogo kuamua utamkuta mwanaume anasema mpaka wife aje ndio takuambia..

Hata watoto siku hizi matatizo yao wanawambia mama zao, huku wakiwacha baba zao..

Hivi kwa nini imekuwa hivyo kina mama ndio wanakuwa na sauti kuzidi kina baba..

Tujadili wakuu tupate kujua..
 
Wana JF...
Nimejaribu kufanya tafiti kidogo kwenye jambo hili kupitia kwa jamaa zangu wa karibu..

Katika tafiti zangu sehemu kubwa za nyumba zetu nimeona kina mama ndio wenye sauti kubwa ndani ya nyumba ya kimaamuzi..

Wanaume wengi tumekua hatuna sauti ndani ya nyumba zetu.

Hata vitu vidogo kuamua utamkuta mwanaume anasema mpaka wife aje ndio takuambia..

Hata watoto siku hizi matatizo yao wanawambia mama zao, huku wakiwacha baba zao..

Hivi kwa nini imekuwa hivyo kina mama ndio wanakuwa na sauti kuzidi kina baba..

Tujadili wakuu tupate kujua..

Ndio usawa wanaoulilia wakina mama. Msipo kuwa makini baadae hali itakuwa mbaya zaidi.
Mimi upuuzi huo sina kabisa, hata vitabu vya dini vimenipa mimi mwanaume madaraka ya kuongoza famili, sasa hii democracy ya siku hizi ndani ya familia imewafanya wanaume kuwa kama mabinti.

Plz wanaume, Tafakari na chukua hatua, Bora lawama kuliko fedheha.
 
Heri lawama kuliko fedhea...demokrasia na ndoa wapi na wapi jamani?hizo elimu zenu hukohuko madarasani na maofisini siyo kwenye himaya yangu ktk ndoa takatifu..UPUUUUZI MKUBWA
 
No wonder.............matatizo hayeshi kwenye hizi ndoa, kuna power struggle inaendelea.
Hapo chini nime quote maneno hayo, niseme kabisa si yangu..........

"The greatest asset we have in human existence is our soul growth, but somehow we have that confused with becoming powerful"
 
Hapana sio kuongozwa na kina mama; tena mwenyewe umesema vitu vidogo vidogo; ni kweli dialy run na vitu vidogo vidogo ndani ya nyumba ni jukumu la mama; huwezi kuja kwangu kuazima pasi nikupatie ...............utamsubiri wife ama ?
hapo nakuunga mkono...sasa anataka mpaka penseli na nguo za watoto ahusishwe baba miakwamia. baba anacheza na fatique nzitonzito bwana siyo issue za kilo moja ya sukari nyumbani...
 
Ndio usawa wanaoulilia wakina mama. Msipo kuwa makini baadae hali itakuwa mbaya zaidi.
Mimi upuuzi huo sina kabisa, hata vitabu vya dini vimenipa mimi mwanaume madaraka ya kuongoza famili, sasa hii democracy ya siku hizi ndani ya familia imewafanya wanaume kuwa kama mabinti.

Plz wanaume, Tafakari na chukua hatua, Bora lawama kuliko fedheha.
nakuunga mkono kwa 100%
 
Hapana sio kuongozwa na kina mama; tena mwenyewe umesema vitu vidogo vidogo; ni kweli dialy run na vitu vidogo vidogo ndani ya nyumba ni jukumu la mama; huwezi kuja kwangu kuazima pasi nikupatie ...............utamsubiri wife ama ?

Mkuu, nimesema hata matatizo madogo madogo mpaka mke haulizwe...matatizo makubwa yote anatatua mwanamke.

Wengi wanaume walionaswa kwenye mtego huu hawajitambui na wanapokumbushwa wanakuwa wakali sana sijui kwa nini
 
Kuna jamaa yangu mmoja wife wake kampiga marufuku kutembea hovyo baada ya kazi..

Ukipita nyumbani kwake jioni jamaa kakaa nje na watoto wife hayupo..
 
mwanamke sawa na waziri mkuu
yeye ndie mtendaji..
wewe mwanaume ni sawa na mfalme
sio lazima uwe bize na kila kitu
acha waziri mkuu afanye kazi yake

Mkuu, kuna mambo ya mwanamke kufanya nyumbani kama vile kupamba nyumba, fenicha na mambo mengine..

Lakini ukitaka kununua nyumba au kusaidia ndugu zangu, kuwalipia hada shule au kusaidia jamaa yangu mpaka wife akubali..

Mama anaumwa kutoa pesa mpaka wife akubali...lol..
 
mama ni moyo baba ni kichwa ktk familia so moyo una nguvu kwani ukistop tu tap mtu kafa lkn kichwa ikistop mtu hafi bali anakua tu kichaa ila anaendelea kuishi
 
Ndio usawa wanaoulilia wakina mama. Msipo kuwa makini baadae hali itakuwa mbaya zaidi.
Mimi upuuzi huo sina kabisa, hata vitabu vya dini vimenipa mimi mwanaume madaraka ya kuongoza famili
, sasa hii democracy ya siku hizi ndani ya familia imewafanya wanaume kuwa kama mabinti.

Plz wanaume, Tafakari na chukua hatua, Bora lawama kuliko fedheha.
sishangai sana maana mtoa mada ni chatu dume! halafu mchangiaji wewe ni mkimbizwa mbio (bila shaka wakimbizwa na mkeo unaojitia kumdharau hapa) tena akikujua umelala nje!! hivi kumbe mke kuwa na sauti ndani ya nyumba ni 'crime'?? sikujua kama hilo linaweza kuwekewa mkakati na wanaume eti kabla hali haijawa 'mbaya zaidi'. vitabu vya dini enzi hizoooo vilikuwa vinamzungumzia 'mwanamume' aliekuwa anajua vema majukumu ya kuwa mume ndani ya nyumba. ck hz wanaume wengi wamepoteza hizo 'sauti' kwa sababu wanawake walio wengi ndio wanaotunza familia, sasa cjui kama mume ni suruali au majukumu. na kama ni suruali basi hata sie wanawake tunavaa!! sauti mnayoilalamikia hapa ni 'nguvu ya uchumi' kama huna kitu mfukoni unategemea umpazie nani sauti wakati pesa ni zake! nani atakubali akatafute pesa halafu wewe mume uje uzipigie kelele??? jijenge kiuchumi utaheshimika na kila mtu tena hata wanaume wenzako. usitake yale mambo ya enzi za mawe eti tu kwa kuwa you carry those suspicious bags between 2 legs and rifle without even bullets basi uwe na kibezi... that was looooong looooooong time ago!!!
 
Back
Top Bottom