hahaha soma jibu la eddie juma ndio maana nimekuuliza maana uliyo kuwa ukimaanisha. Au mpaka avae sare zile za bluemr.Q.unaishi dar au kijijini? hujui maana yo kondakta wa basi?
kamuhulize KENYATA.wakuu ni kwa nini daladala na mabasi ndio yana hawa kondakta? lakini vyombo vya usafiri kama ndege, boti,treni,mitumbwi hazina kondakta wakati navyo usafirisha abiria na kupitia vituo mbalimbali kama mabasi. WHY?
Kijijini huyomr.Q.unaishi dar au kijijini? hujui maana yo kondakta wa basi?