Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Ila mikoa ambayo Ccm imetawala sana kuna machizi sana Mtwara lindi pwani sehemu kubwa ya watu wao wamekaa kichizichizi sijui kwann?
Eee bana eeh ..omba radhi bana!!ushawaona watu wote wa mtwara mpaka uje na hii upuuzi wako huu??halafu nyie watu wa kaskazini mna kasumba sana!!mnadhani nyie mmepewa sana kuliko wengine ati??