Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,407
- 8,900
Hivi kwa nini mtu akifiwa analeta habari za msiba humu? mara oh nimefiwa na baba, mara ohh na mama, mara rafiki yangu mpenzi ...sisi wengine wanatuhusu nini??
Sasa kwa nini hamjulishani huko kwenu mnaojuana kwa simu au e mail au njia yoyote ile bila kutubughudhi sisi tusiohusika? Sasa kama umefiwa sisi wanatuhusu nini? unataka tufanye nini? Hatuwajui wala hawatujui!! Ambianeni huko mnaohusika msije kutubugudhi hapa!!
Sasa kwa nini hamjulishani huko kwenu mnaojuana kwa simu au e mail au njia yoyote ile bila kutubughudhi sisi tusiohusika? Sasa kama umefiwa sisi wanatuhusu nini? unataka tufanye nini? Hatuwajui wala hawatujui!! Ambianeni huko mnaohusika msije kutubugudhi hapa!!