Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
- Thread starter
- #21
Kwenye hizo clab zao serikali si inapata mapato!
Wanapata sana!
Kwenye hizo clab zao serikali si inapata mapato!
nani kasema ni haramu? Mi kwangu ni halali na wala haina matatizo yoyote kwa sababu inaleta matingas kama kawaidaGreat Thinkers.
Naomba kuuliza ni kwa nini hizi pombe kama Konyagi, Bia, Wine, Wisky, zinaitwa pombe halali?
Halafu pombe kama Gongo inatwa pombe haramu?
Kitu chochote ukizidisha ni haramu:smash::smash: Pombe ye yote ukizidisha ni haramu..
nani kasema ni haramu? Mi kwangu ni halali na wala haina matatizo yoyote kwa sababu inaleta matingas kama kawaida