Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,272
- 31,393
Kuna haya mambo ambayo yameanzishwa kwa ajili ya wanawake pekee, je kuna manufaa yoyote wanayoyapata kwa kuanzishwa na makundi hayo..????kuna TAMWA, TAWLA, MEWATA, MALKIA AKAUNTI, UWT, WIZARA INAYOWAHUSISHA WANAWAKE, TANZANIA WOMEN BANK (TWB), ....etc.....etc