Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,529
- 8,614
..kutongoza ni sanaa....hakuna formula maalum...you must have a natural emparthy....kutambua haraka umuingieje mwanamke....sio lazima mbinu uliyoingia leo ikawezekana kwa mwingine........
watu wengine hufikiri kutongoza mwanamke chakaramu ni rahisi kuliko mpole...ukweli ni kuwa kwa mjuvi wa sanaa ya kutongoza ...ni rahisi sana kumpata mwanamke mkimya na mpole kuliko chaakaramu...
mwanamke chakaramu ....ni rahisi zaidi kuelewa mbinu za mwanaume....na hata anaweza kukubali ...ba baadaye akabadilika....na mara nyingi hukubali mwanamme amtaakaye na sio kwa ajili ya kudanganywa...
watu wengine hufikiri kutongoza mwanamke chakaramu ni rahisi kuliko mpole...ukweli ni kuwa kwa mjuvi wa sanaa ya kutongoza ...ni rahisi sana kumpata mwanamke mkimya na mpole kuliko chaakaramu...
mwanamke chakaramu ....ni rahisi zaidi kuelewa mbinu za mwanaume....na hata anaweza kukubali ...ba baadaye akabadilika....na mara nyingi hukubali mwanamme amtaakaye na sio kwa ajili ya kudanganywa...