MIE HUWA TUNATONGOZANA HASA TUKIWA TUNAPATA MTINDI (BEER) BAADAE MNAJIKUTA MNACHAKACHUANA TU:becky::becky::becky:
Kipawa ni kipaji cha uwezo wa ajabu wenye kuweza kufanya mambo kiimani, kama kuhubiri, uponyaji, kunena kwa lugha etc, something to do with imani.Kwani bado unafua kofuli za wmandani wako?
mmmh!hongera NN, mi wananiogopa!wanasema umbo langu linaonyesha nina mpini mkubwa!
Kwani bado unafua kofuli za wmandani wako?
Wananitongoza ili niwamege....
kwahiyo wanaume wengi mna kipaji kinachofanana kwa kujua kutongoza??!!..
bacha umepona leo? maana jana ulikuwa hujisikii vizuri....:becky:
kwa mtazamo wangu kutongoza sio kipaji kabisa, sababu zipo nyingi:
1. hata asiye na akiri timamu kama kichaa naye anazaa, hii inamaanisha kitendo
hiki hakihitaji utaalamu wowote.
2. watoto wadogo wasiojua chochote ukiwafungia kwenye chumba kwa muda kidogo
tu unawakuta wamefanya jambo hili, nani kawafundisha au wameona wapi??
3. mwanamke asipotongozwa kwa muda mrefu huchanganyikiwa, mwanaume naye
asipopata hata mwezi tu huugua.......
ukitaka kuelewa jambo hili halihitaji utaalamu, tafuta mwanamke na mwanaume wenye
umri wa kufanya mambo ya wakubwa wasiopendana kabisa, wafungie ndani kwa miezi miwili tu, hata kama walikuwa hawapendani vipi, mwanamke mbaya vipi, mwaume mbaya vipi watafanya mambo haya. Vuta tu subila utashangaa unatembea na mwanamke bila ya kumtamkia hata neno moja.....
Eeeeh mkuu kila jumamosi zinakusanywa zote naenda nazo mtoni kuzifua:becky::becky:
count me out,...
Ila naamini kutongoza ni jinsi 'mtu' anavyoyatamka maneno badala ya anavyoyasema.
"People may not remember what you said, but they will always remember how you made them feel"