augustino ameri
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 267
- 57
Mimi nafikiri inaposemwa kuwa serikali ya TZ,Inawafanyakazi 300,000.inamaana kuwa nao wamo sasa kuwambia wapo wengi maana yake nini?hawana umuhimu HAWANA MAJUKUMU,au vipi? Basi wapunguzwe wabaki wachache,haya maneno yanasemwa sana na viongozi hasa CWT.HAYA NI MANENO YA KUMRITHISHA MJINGA ILI ABAKI KAMA ALIVYO HUKU KICHWANI KABEBA ZIGO KUBWA NA MFUKONI HANA KITU.kuwa wengi maana yake kuna kazi nyingi wangekuwa hawana kazi wangepunguzwa wabaki wachach wanaohitajika.