mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
- Thread starter
- #21
<br />social networks contribution inategemeaana na mambo mengi kama kazi mtu anayofanya.ie ni mpokeaji wa wageni tu na kupost few records ktk pc anaweza kuwa active sana.pia kuna nyakati kama lunch tym watu wengine hawatoki ofcn kwa sababu hamna sehemu za kula ama wanafanya diet na wengine wanapiga neutral(dashdash) kwa ajili ya bajeti.pia wapo wanaokuwa na muda wakati wa likizo,wakati wa safari,boring home nk ukzingatia sio watu wote wapo kwenye time zone moja,sometimes wewe upo ofisini mimi ndo muda wa kulala nachungulia jf
<br />
yah thats true but not the real fact...wewe angalia tu online members weekend na siku za kazi