menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 667
wanajamvini nimekua nikijiuliza kwa nini dada zetu huvaa vichupi na sidiria tu kwenye video za muziki na baadhi ya movie? Alafu wana kuwa wakicheza staili za chumbani!! Hebu tulijadili hili tafadhali.