Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,787
- 3,681
Sio lazima kuoa au kuolewa.ila kuna andiko ktk biblia linasema ni heri kuoa au kuolewa kuliko kukaa mwili ukawaka tamaa.maana yake ni kuwa tamaa ni dhambi, na kama ujuavyo tamaa huanza mengineyo kama kupenda,kutongoza, mwisho mnaivuja ile amri ya sita isemayo usizini. Hivyo acha kuoa/kuolewa ukiwa na uhakika unaweza kuvumilia na kuishi maisha yasiyokuwa na matamanio hasa ya kimwili usije ukatenda dhambi.