Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Kuna watu hawakuoa, lakini wameuguzwa vizuri tu kwa sababu wameishi vizuri na watu, au wana fedha za kulipia huduma nzuri, au wanajaliwa na ndugu zao.
Kuna wengine walioa, mke/ mume alipojua tu kwamba mwenzake anaumwa na talaka ikaanzia hapo hapo.
Kwa hiyo habari ya kuuguzana si ya msingi katika kuamua kuoa.
Hao watu ni wamatumbi?