Kwahiyo ukiumwa mke ndio anakulipia matibabu fast track pale Muhimbili? au vipi kama mke ndio atakuwa anaumwa!!?kama hujui umuhimu wa Makalio, jaribu kukalia kichwa...
Hebu subiri uumwe halafu ndio utajua kwamba kuoa ni muhimu au la!
Wanajamvi,
Naomba mnijuze kwa wale wenye uzoefu na wale ambao bado hamjafanya maamuzi
Kwahiyo hapa unatuaminisha kwamba zamani wote walikuwa ni wacha mungu? mbona magereza yote na mahakama vilijengwa zamani hizo? sikubaliani na wewe hapa unaleta urongo.wanaosema hakuna ulazima ni vijana wa leo ambao wemekuta wasichana wako wengi na maadili yamewashuka au hawana kabisa,hivyo kutembea na wasichana tofauti tofauti,inge kuwa enzi hizo hili neno usingelisikia,kipindi hicho umpate mwanamke lazima uwe mcha mungu uwe unaenda msikitini au kanisani,vinginevyo utaula wa chuya
WaDUvi
Mnaendelea kunigusa, naomba tu muogelee katika maana yoyote, iwe ni kwa statutory interpretation, customary rituals, au under religious norms............hapa pia nieleweke kwamba sijaamanisha kufanya tendo la ndoa nimeuliza kuoa na unaweza nogesha kuolewa ikiwa ni lazima au la!! mkitupa uzoefu (visa mkasa) itasaidia sana
.....Hili swali ni sawa na kuuliza je kuna ulazima wa kufanya mapenzi?
Kwa msingi huu kuoa si lazima.
kama hujui umuhimu wa Makalio, jaribu kukalia kichwa...
Hebu subiri uumwe halafu ndio utajua kwamba kuoa ni muhimu au la!