Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,799
- 59,264
Kama sio ya kheri vile
Kuna kheri yoyote kwenye kugeneralize tabia/sifa hasi ambazo yeyote anaweza kuwa nazo?
Kama sio ya kheri vile
Kwanini?
Okay swithrt m xcluding u from the list
Kwa sababu umenichekesha
Nilikuchekesha na nini?
Hapa bwana mi siongelei ule uzuri ambao kila mtu atajisifia mtu wake anao, yaani very simple i mentioned two categories kama reference ili kuondoa huko ambako watu wanatupeleka sasa. Hope umenielewa mamy
Uliposema 'yeeaah'
Kwahiyo "yeahh" ndio ilikuchekesha au kitendo cha mimi kujibu "yeahh" kwa swali lile ndio kilikuchekesha.
Swali langu: 'wewe ni mtoto shoo?'
Jibu lako: 'yeahh'
Jibu lako kwa swali langu ndo lililonichekesha.
Shukrani!!Dah i lov women, wel m nat doin u a favor u deserve not to be on that list mamy
Haaaa kwahiyo unataka sema kama haujapita kando usubiri usomewe eeh?
inawezekana, maana wanaume wazuri wote vichwamaji, handsome boys zero kabisa, inawezekana na warembo ikawa hivyo.
ila uzuri wa mtu uko machoni mwa mtu, sasa sijui unaongelea uzuri gani