Rapunzel
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,079
- 597
Tena usalita wa wanaume unaumiza mpaka utummbo unaweza kukatika katika huko tumboni khaa
Word...
Tena usalita wa wanaume unaumiza mpaka utummbo unaweza kukatika katika huko tumboni khaa
Dunia ya sasa imakaa kingono ngono tuu , wanaume KUSHNEI na wanawake NeiNei
Eti kujitongozesha kwa bosi???? Kisa salary iongezwe hovyooo kabisa!!!!!
nshawagegeda kama 10 hiv na cheo sijawapandisha. walete vyeti wacompete na walioqualify.