data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,138
- 22,709
sasa kama sura ka unapuliza moto uweke ya nin!??Mimi hata zangu sipendi kuweka
sasa kama sura ka unapuliza moto uweke ya nin!??Mimi hata zangu sipendi kuweka
Ndio mungu alivyoniumba siwezi pingana na uumbaji na pia siwezi kujianika bila sababu ni mapenzi ya mtu na maamuzi yake binafsisasa kama sura ka unapuliza moto uweke ya nin!??
Mambo ya Ngoswe, muachie Ngiswe mwenyewe.
Watu kujinafasi na watoto wao ruksa.
Hata mtu akisema mwanawe ana akiki sana wakati ni wazi mtoto ni tutusa ni ruksa.
Ukimind unaweza kuwa mchawi.
Ushamba ni upi?huo ni ushamba mkubwa! tena ushamba wa kisukuma
Huna mtoto wewe lazima useme ni ushama,ushakuwa mtu mzima wewe acha ujinga mpe demu wako mimba,utakufa na kuzeeka bila mtotohuo ni ushamba mkubwa! tena ushamba wa kisukuma
Huna mtoto tulia wewe,acha upuuzi wako wa kutuamlia maisha,sirjohn wamekuelewa ni ujinga mtupu muache mtoto akue afu yeye ndo ataamua kufungua ac na yeye auze uze kdogo, ndo mana nachukia fb mimi ndo yale yale mtu anapiga picha miguu yake afu like 700 ,
Hii ni mada njema kwa wazazi wa dotcom. Ukiachilia mbali suala la faragha ya mtoto, ambayo ni haki yake mwenyewe kuamua na sio kuamuliwa na wazazi, pia kuna suala la usalama wa mtoto. Kwa kuweka picha ya mtoto kwenye mtandao, watu wanaweza kujua hali yako ya kipato na pia na hata kumtamani mtoto. Matokeo yake kuna kutapeliwa kwasababu ya taarifa ya mtoto wako mtandaoni, kutekwa kwa mtoto na kutakiwa kutoa pesa.
Lakini baya zaidi ambalo lipo njiani (kama bado halijaanza) ni dhuluma za kingono kwa watoto (pedophilia). Mabadhadhi wanaweza kumtaman mtoto wako kutokana na picha uliyoweka na hatimae kumtafuta na kumfanyia dhuluma. Kwa nchi zilizoendelea kwa TEHAMA kama India ambazo wazazi wanamudu kuwanunulia watoto wao kompyuta zilizounganishwa kwenye mtandao, mambo haya hutokea sana. Kwa taarifa tu, India inaongoza kwa utumwa wa kimapenzi na usafirishaji wa watoto wadogo. Mwanao atatafutwa facebook na jitu linalojifanya nalo ni toto, na bila wasiwasi wowote, mtoto atatoa taarifa za kazi na ratiba na mama na baba ni hivyo kufahamika wakat gani haupo nyumban. Sasa hapo linabaki suala la mtoto kuambiwa njoo hapa barabarani nikununulie icecream au baga. Huo waweza kuwa mwisho wa mtoto kumuona. Pia South Afrika kuna tatizo kubwa sana la watoto kupotea-tehama ni moja ya sababu.
Pia kuna wazazi wanawapiga watoto picha uchi na kutumia ndugu au mume/mke whatsup. Uchi ni uchi tu hata uwe wa mtoto. Sidhani mzazi unapenda mtoto wako aje awe bullied shuleni sababu ya maumbile yake ya siri. Kwa taarifa tu, mara nyingi smartphone yako huhifadhi kwenye mtandao picha zote unazopiga au kutumiwa (mfano huhifadhiwa kwenye mtandao wa photos), hivyo hata ukifuta kwenye simu, hujafuta sehemu nyingine kwenye mtandao. Hackers wanaweza kufanya lolote, wakati wowote na picha zako zilizoko kwenye mtandao wa photo. Jihadhari, umeonywa.
Binafsi napenda sana privacy. Na nina training ya computer security. Kwa hiyo naelewa matatizo yote hayo yaliyotajwa ya security.asante kwa shule nzuri! wataelewa tu
Tulia usie na mtoto wewe,acha wenye mbegu zetu na hatuogopi majukumu tuwapost watoto wetujuvenile davis nyie na vi tecno vyenu p3 mnasumbua kwel mtoto c wako sa unataka nini?
Haizidi ya mtoa mada!!huo ni ushamba mkubwa! tena ushamba wa kisukuma
somo zuri sana!!!! utasikia kama kaenda kununua shoes za mtot mliman city ili watu wajue kuwa kanunulia pale utaskia hapohapo anamfotoa akiwa kajaribu anarusha fb, inst, whtp n.K utaskia ma angle agrysh!! si ulimbuken huO jaman mbona hawapigag Na kupost wakiwa wamefilicka???
Wana miaka 35 wote wawili mkuu.
16 tu mkuu.Wewe Una Kumi na Ngapi?