Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,052
- 6,702
mtu anaona sio vizuri kuuza sura yake mtandaoni basi anaweka ya mtoto! alokwambia huyo mtoto anapenda mitandao nani? unyanyasaji mwingine huu
Hapo sasamkuu unaweza kutoa maana ya globolization huku ukiwianisha na kupost picha za mwanao mitandaoni!
huuvujinga hufanywa na watu ambao ukikaa nao utakuta kichwani ni ()
Kumbe lengo huwa ni kuringishia wagumbaKama huna mtoto shut up ur mouth..acha wenye watoto wetu tuwapost tu,wagumba mtaishia kupiga kelele tu
Kweli aisee...Ukiona ivyo kanyimwa mtoto huyo kwa kukosa kuwa muwajibikaji
Hakuna niliposema naona fahari kuweka picha, ila naweka sanaaa tu na nitendelea kushare picha za event mbalimbali na marafiki zangu, wewe kama huna cha kushare ni wewe na maisha yako lakini mimi kila nchi ninayokwenda lazima nitupie Facebook wajingawajinga kama wewe upate fursa ya kuosha macho, hivi ulidhani unapodownload camera 360 ni ya kuifungia store? Watu wengine hovyo kwelikweli.Nina hakika ukipata ajali kisha ukakatwa pua hutaweka picha mtandaoni. Mimi binafsi sioni fahari kuweka picha yangu mtandaoni na huwa siweki.
Kama huna mtoto shut up ur mouth..acha wenye watoto wetu tuwapost tu,wagumba mtaishia kupiga kelele tu
Acha kelele wewe usiye na mtoto hadi leo,unakimbilia 30 yrs huna mtoto?? Acheni marijali tuwatupie watoto wetumkuu for sure ulivyo na uelewa mdogo ndivyo na mtoto alivyo!
Hata kama anaye, mtoto amejaa utapiamlo mtupu atupiaje maphoto Facebook?Acha kelele wewe usiye na mtoto hadi leo,unakimbilia 30 yrs huna mtoto?? Acheni marijali tuwatupie watoto wetu
Ukifuata mawazo ya mazuzu kama hao, kuna siku utajikuta unatamani kuishi North Korea, hebu jiulize wewe mwenye kwa mifano ni raha iliyoje hii!?.........Acha kelele wewe usiye na mtoto hadi leo,unakimbilia 30 yrs huna mtoto?? Acheni marijali tuwatupie watoto wetu
Acha dharau na majivuno.... Unaona umemaliza hujui safar moja huanzisha nyingine.. One day utajutia kauli yako utakapoona mwanao amevamia madawa ya kulevya , ukahaba au wizi..... Ugumba sio tusi check it again nduguKama huna mtoto shut up ur mouth..acha wenye watoto wetu tuwapost tu,wagumba mtaishia kupiga kelele tu
Wengine sio wagumba mkuu ila hawataki kuzaa tu.ila nimetumia neno wagumba ili wapate hasira wazae.kuwa na mtoto raha bwanaAcha dharau na majivuno.... Unaona umemaliza hujui safar moja huanzisha nyingine.. One day utajutia kauli yako utakapoona mwanao amevamia madawa ya kulevya , ukahaba au wizi..... Ugumba sio tusi check it again ndugu
Acha kelele wewe usiye na mtoto hadi leo,unakimbilia 30 yrs huna mtoto?? Acheni marijali tuwatupie watoto wetu