Elections 2010 Hivi kuna nini STAR TV mbona hiki kipindi kimetoweka?

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173


Asubuhi ya saa 12.30, STAR TV, kila siku walikuwa wanarusha hewani kipindi cha “someni magazeti” lakini katika kipindi hiki cha uchaguzi wameingia mitini na sasa hivi ni vigumu kukukubali hoja za “sababu zisizoweza kuzuilika” ili tuafiki hili pazia nene la vichwa vya habari vya magazeti.

Ninahisi kuna mkono wa CCM baada ya kuona mambo ya ushindi wa asilimia themanini wa mwaka 2005 sasa yameyeyuka…….Na Ikulu iko mashakani………………

Kama kuna mwanajamvi mwenye taarifa zaidi anijulishe ili nami nielimike vinginevyo basi nitabaki na hisia zangu ambazo yawezekana kabisa siyo sahihi
 
Asubuhi ya saa 12.30, STAR TV, kila siku walikuwa wanarusha hewani kipindi cha “someni magazeti” lakini katika kipindi hiki cha uchaguzi wameingia mitini na sasa hivi ni vigumu kukukubali hoja za “sababu zisizoweza kuzuilika” ili tuafiki hili pazia nene la vichwa vya habari vya magazeti.

Ninahisi kuna mkono wa CCM baada ya kuona mambo ya ushindi wa asilimia themanini wa mwaka 2005 sasa yameyeyuka…….Na Ikulu iko mashakani………………

Kama kuna mwanajamvi mwenye taarifa zaidi anijulishe ili nami nielimike vinginevyo basi nitabaki na hisia zangu ambazo yawezekana kabisa siyo sahihi

Huwa naskiza wakisoma magazeti asubuhi kupitia RFA, lakini sina hakika kama na kwetu kijijini wanasikia au wanapigiwa miziki ya Viky Kamata?
 
hahaha hahaha
kila mwana atarejea nyumbani this time.
kipindi kigumu sana kwao hiki.
tatizo tuna vyombo huru vya habari vya kuhesabika nchini. vyote vilivyosalia ni mamluki na wapanda mbegu mbaya dhidi ya jamii.
Ndo maana kila kukicha unasikia fulania ameacha utangazaji kajitosa siasa
 
Back
Top Bottom