Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,842
- 31,841
yaani kila nikikuwaza my princess huwa najisikia furaha kuwa na binti kama wewe...
Mhh!!
Mababa wa Kizazi hiki mna kazi.
Ndo yale ya Mama Kumbena.
Hataki kumuoza binti,kisa amemzoea.
yaani kila nikikuwaza my princess huwa najisikia furaha kuwa na binti kama wewe...
yaani kila nikikuwaza my princess huwa najisikia furaha kuwa na binti kama wewe...
Madamme b salute kwakooooo umenifurahisha sanaaaa
yaani kila nikikuwaza my princess huwa najisikia furaha kuwa na binti kama wewe...
DONGO BUS SERVICE !
Dar kupitia MAKAVU hadi Mwz!
Wahi ticket mapema .
nenda kwa wakwere.
In'ye,
Bambataa,
Mpododo,
Kijungu,
Mzigo,
Mfungashio,
Kwa neno moja huitwa nini?
Cha kufanya hapa Babie mwana , Binti keshakua na ndo yuko njia moja kuanzisha her new couple!
Wewe sasa komaa kuchuja nafaka kwa kwenda mbele u'produce mwingine!
Kila uchao wanaume wapya wanazaliwa, watahitaji mautulivu.
Mbona mkali jamani?
Au kisu kimefika mfupani?
walaah! hata sijakuwa mkali...binti yangu charminglady nampenda lakini kuoza ni baraka na heshima...
Hyo ktk Lugha ya Kiswahili ni Wakati gani?
hahahah...wakati uliopita timilifu
...haya tusifike huko.
Mzima lakini?
Vp yule Dog-Fish ushapikiwa?
mie mzima, sijui weye...mmh lunch bado haijaandaliwa tunasubiri utaalam wenu kwenye kuandaa kitoweo cha namna ile
Mh!
Kile kitoweo sijawah kula,
samaki mwenye sura ya Mbwa?
Doh!
basi leo kama vipi karibu tujumuike wote lunch