Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Katika utafiti wangu wa muda mrefu nimegundua neno MONEY au FEDHA likawa neno lenye m'badala wa maneno mengi similar kulikusu, labda kuliko maneno yote katika kingereza na Kiswahili .
Vinginevyo maneno ya m'badala wake hubadilika moja hadi jingine due situated place! Or where you are .
Aidha neno MONEY lina vijineno vingine lukuki , ambavyo vinatumika kulisindikiza kama si kuliwakilisha. Kwa uchache angalia maneno haya ambayo niyaite (huge deligators )
1. CURRENCY
2. FUND
3. FINANCE
4. COIN
5. NOTE
6. CASH
7. TREASURE
Baadhi ya maneno madogodogo (tiny deligators) ambayo ukiyataja tu result yake ni MONEY ni kama haya ;
1. SALARY
2. RENT
3. BILL
4. CHARGE
5. FARE
6. FEES
7. TAX
8. LEVY
9. WAGES
10. ALLOWANCE
11. INCOME
Kisha yapo maneno ya fungu la 3 ambayo kwayo pia yakitumika yanaweza kuwakilisha MONEY au other wealth .
Mf.
1. FINE
2. PENALTY
3. DOWRY
4. BRIDE PRICE
5. PRICE
6. BRIBE
7. CORRUPTION
8. PAY
9. BONUS
10. HIRE 11. RIBA
12. MKOPO
13. BINGO (Jugpot)
Na mengine mengi ambayo sijayataja.
Huku kwenye Kiswahili nako si haba !
Mf.
1. PESA
2. FEDHA
3. SARAFU
4. NOTI
5. MKWANJA
6. MAVUMBA
7. HELA
8. MAGOTO
9. MPUNGA
10. PONYOO
11. MAKUTA
12. MAPENI
13. FUBA
Na mengine mengi siyakumbuki .
Issue hapa ni mimi kutaka kupanua wigo wa ufahamu, hivi kuna neno tofauti na hili lenye maneno ya badili , kuzidi hili ?
Vinginevyo maneno ya m'badala wake hubadilika moja hadi jingine due situated place! Or where you are .
Aidha neno MONEY lina vijineno vingine lukuki , ambavyo vinatumika kulisindikiza kama si kuliwakilisha. Kwa uchache angalia maneno haya ambayo niyaite (huge deligators )
1. CURRENCY
2. FUND
3. FINANCE
4. COIN
5. NOTE
6. CASH
7. TREASURE
Baadhi ya maneno madogodogo (tiny deligators) ambayo ukiyataja tu result yake ni MONEY ni kama haya ;
1. SALARY
2. RENT
3. BILL
4. CHARGE
5. FARE
6. FEES
7. TAX
8. LEVY
9. WAGES
10. ALLOWANCE
11. INCOME
Kisha yapo maneno ya fungu la 3 ambayo kwayo pia yakitumika yanaweza kuwakilisha MONEY au other wealth .
Mf.
1. FINE
2. PENALTY
3. DOWRY
4. BRIDE PRICE
5. PRICE
6. BRIBE
7. CORRUPTION
8. PAY
9. BONUS
10. HIRE 11. RIBA
12. MKOPO
13. BINGO (Jugpot)
Na mengine mengi ambayo sijayataja.
Huku kwenye Kiswahili nako si haba !
Mf.
1. PESA
2. FEDHA
3. SARAFU
4. NOTI
5. MKWANJA
6. MAVUMBA
7. HELA
8. MAGOTO
9. MPUNGA
10. PONYOO
11. MAKUTA
12. MAPENI
13. FUBA
Na mengine mengi siyakumbuki .
Issue hapa ni mimi kutaka kupanua wigo wa ufahamu, hivi kuna neno tofauti na hili lenye maneno ya badili , kuzidi hili ?