Hivi kuna mwanamke yeyote anaekubali hili?

Ni ngumu sana hii
Huu ni ubinafsi tu wwanaume na tamaa zao
Cjui kama wanawake wangeamua kuwa na waume wawili kama pangekalika maana huu mkuki umeelekezwa upande mmoja tu.!
kwa tunakoelekea ipo siku watadai haki ya kuwa na waume wawili na wakidai hakuna kulalamika sababu mmeshawaonea sana.
 
ni makubaliano tu,ingawa mwanzo huwa mgumu.nina ndugu yangu mmoja,na mke mwenzie wanaelewana sana,wakienda kwenye shuhuli wanavaa sare.mmoja akiumwa,mwenzie anampeleka hospitali.watoto wao wanaelewana.ukiwekea kitu imani,uke wenza haukupi shida.kitu chochote.kuna watu nawafahamu wengi tu,ambao wana uke wenza wanaelewana,ila ni watu wa dini mno.
 
ni makubaliano tu,ingawa mwanzo huwa mgumu.nina ndugu yangu mmoja,na mke mwenzie wanaelewana sana,wakienda kwenye shuhuli wanavaa sare.mmoja akiumwa,mwenzie anampeleka hospitali.watoto wao wanaelewana.ukiwekea kitu imani,uke wenza haukupi shida.kitu chochote.kuna watu nawafahamu wengi tu,ambao wana uke wenza wanaelewana,ila ni watu wa dini mno.

Kuna tofauti kubwa kati ya kufanya jambo kwa hiyari yako na kulazimishwa na dini.Hebu waulize siku moja kama hawajakuambia wanafanya hivyo kwa sababu dini imeagiza hivyo na sio kwa matakwa yao!
 
Hii inategemea binti anaolewa na mwanaume ili awe mke wa pili kwa sababu mbalimbali ninazozijua mimi
1. Kwa mujibu wa dini
2. Umri uliopitiliza hivyo anata kuosha jina kwamba nae aliolewa ili awe na watoto
3. shinikizo la wazazi kwa tamaa ya mali
4. Binti kwa tamaa zake mwenyewe mali pia umatemate wa jamaa
5. Wapo wanaoolewa mke wa pili kwa kujiona wao ni zaidi kuliko aliyetangulia (yaani amependwa zaidi)
6. Kwa matakwa ya mwanaume labda mke wa kwanza anamatatizo (mfano katika uzazi) hivyo binti anakubaliana na hilo suala kisha anaingia kwenye ndoa.
 
Japo mi si msoma Biblia kihivyo...Dr. Riwa kina Daudi; sijuhi Mfalme Suleiman hawakuwa na dini; Dini imeanza baada ya Kuzaliwa Kristo ndio maana tunaitwa wakristo.


Hivi mfalme Daudi alikuwa dini gani vile? sijui lakini alikuwa na wake zaidi ya mmoja...tena aliwahi kuua ili arithi mke wa tatu, na akiwa mzee alioa tena binti kijana aliyesababisha nusura amuue mwanae wa kumzaa kwa kuwa na affair naye! Huyu ni nabii anayeheshimika na dini zote mbili!

Na mfalme Suleiman alikuwa dini gani sijui? lakini najua alikuwa mmoja kati wa watu waliopendwa na mungu, na nabii anayeheshimika na dini zote mbili...huyu alikuwa na wake kwa maelfu!

Na Yakobo sijui dini gani? Huyu baada ya kusota kwa miaka 7 akichunga mifugo mjombaye Labani aliozeshwa Leah badala ya kuozeshwa Raheli aliyempenda..akasota mingine 7 akawa na wake wawili. Mpaka sasa biblia ina vifungu visemavyo 'mimi ndiye mungu wako, mungu wa Isaka na Yakobo.....' ikionyesha jinsi livyokuwa mcha mungu na wakeze wawili..

Need me say more?
 
Kwa kweli wale ambao dini zao haziruhusu...wanaolewa sababu ya pesa...nina mifano kadhaa; ila wengi baada ya muda wanabwaga manyanga; mimi nawachukuliaga kama vimada tu; kwani wakristu hawana kitu kama hicho.


Hii inategemea binti anaolewa na mwanaume ili awe mke wa pili kwa sababu mbalimbali ninazozijua mimi
1. Kwa mujibu wa dini
2. Umri uliopitiliza hivyo anata kuosha jina kwamba nae aliolewa ili awe na watoto
3. shinikizo la wazazi kwa tamaa ya mali
4. Binti kwa tamaa zake mwenyewe mali pia umatemate wa jamaa
5. Wapo wanaoolewa mke wa pili kwa kujiona wao ni zaidi kuliko aliyetangulia (yaani amependwa zaidi)
6. Kwa matakwa ya mwanaume labda mke wa kwanza anamatatizo (mfano katika uzazi) hivyo binti anakubaliana na hilo suala kisha anaingia kwenye ndoa.
 
Marijani Rajabu anakwambia ukewenza nouma


Marijani Raajab - Uke Wenza - YouTube

Kuna jirani zangu wakurya...baba yao aliongeza mke wa pili wakati ana wajukuu...kisa ana pesa;

Na hiyo haikusaidia kwani tulishamzika (HIV) na mke wake mdogo kachizika. I hope mke mkubwa yuko fine maana ni kama mume alimsusa fulani baada ya kupata dogo dogo.

Ila hawaku divorce; alipoanza kuvaa nepi likuja kuuguzwa kwa mkewe mkubwa kwani mke mdogo nae ndio hivyo virusi viliingia kichwani.

Hivyo kwa experience yangu hata wakurya ambao watu wanasema eti wamezoea kukaa uke wenza...life is not that enjoyable...nimekaa nao sana; na mashostito wangu wa kikurya wanawakimbia kaka zao wakiogopa uke wenza kwani wameona mama zao wanavyoenya.
 
heshima ya ndoa ni bora kuwa na mke mmoja kuoa mwanamke mwingine nikuongeza matatizo kama mmeshindana ni boara kuachana kabisa na ndipo uoe
 
Japo mi si msoma Biblia kihivyo...Dr. Riwa kina Daudi; sijuhi Mfalme Suleiman hawakuwa na dini; Dini imeanza baada ya Kuzaliwa Kristo ndio maana tunaitwa wakristo.

yaani umeongea kitu cha maana sana kweli dini ilianza pale tu Christo alipozaliwa na agano jipya ndipo likajatimiliza yale yaliyokuwa kinyume kwenye nyakati za agano la kale kama hizo ndoa, kuoa dada yako au ndugu wa karibu, etc
 
ni makubaliano tu,ingawa mwanzo huwa mgumu.nina ndugu yangu mmoja,na mke mwenzie wanaelewana sana,wakienda kwenye shuhuli wanavaa sare.mmoja akiumwa,mwenzie anampeleka hospitali.watoto wao wanaelewana.ukiwekea kitu imani,uke wenza haukupi shida.kitu chochote.kuna watu nawafahamu wengi tu,ambao wana uke wenza wanaelewana,ila ni watu wa dini mno.



Wa hivo kwa jamii ya sasa ni wachache sana,
labda ambao wanaolewa kwa mila na desturi zao wao wenyewe
Bi mkubwa natakiwa amkaribishe Bi mdogo
Bi mdogo vilevile lazima amuheshimu Bi mkubwa
Tena anatakiwa kila jambo analofanya lazima amshirikishe Bi mkubwa
 
Ikitokea umeoa wake wawili halafu wawe wanapatana na kuelewana, wewe mwanaume utajisikiaje?
 
Sikumbuki kama jambo hili lilishajadilia,lakini hata kama tayari lilishajadiliwa nilitaka kujua na nina sababu.Ni kwamba tangu nizaliwe sijawahi kuona ndoa ya uke wenza ina amani baina ya hao wake wawili au wa idadi yoyote.Miezi miwili iliyopita kuna binti aliolewa na mume mwenye mke tayari,lakini leo binti ameachika na amerudi kwao kwa sababu,tangu ameolewa vurugu na mke mkubwa haziishi,bi mdogo kuumwa kila leo,akipelekwa hospital ugonjwa hauonekani,lakini watu wazima wamemwambia kuwa ake mwenzie ndie anamroga!Nae binti kusikia hivyo amefungasha na kuondoka kwa mumewe na anadai talaka.Huo ni mfano mmoja,najua iko mingi,nimekua nikijiuliza sana;hivi kuna mwanamke anakubali kushea mume na mwanamke mwenzie bila kulazimishwa na dini,umaskini,wazazi au mila?Kama hakuna kwanini wanawake waendelee kujitesa na ndoa hizi?Au wapo wanakubali ndoa hizi?Kama wapo ningependa kusikia kutoka kwao . . . . . . !!!!
ungejiuliza pia huyo anayeolewa kama mke wa pili si mwanamke? kama ndiyo basi wanakubali. pili, historia inatuambia hivyo eg nabii ibrahim, nabii/mfalme suleiman etc. tatu wanawake ni wengi na hawapo hivyo kwa bahati mbaya, nne, maumbile ndivyo yalivyo, nenda umasaini, umang'atini mfalme mswati, mzee zuma, merehemu prof john atemill ya ghana etc.........sorry muda haunitoshi tafadhali
 
Back
Top Bottom