Hivi kuna kombi ngumu kama pgm

nyie nyie jaman ckien 2 PGM>People Gain Material~Physics Geography ADV/MATHEMATICS.. Uc chezee hapo
mbona hamsemi huo ugumu ni katika lipi na ukoje? Kipi kigumu? Climatology, map au photography? Ugumu upi? Linear programming au differentiation? Lazima tukubali ugumu wa kitu uko kichwani mwa mtu.
 
Comb yoyote ile yenye Maths ndani yake ni rahisi na ni mwanya mzuri wa mtu kufaulu kwani unadil ina masomo mawili tu Maths unakua na A tayari kabla ya exams, wewe utakua wale wanaoruka dirishani mwalimu wa hesau akiingia darasani ndio maana unaogopa PGM
 
PCB ni pure science wakuu,mitihani unafanya 11 yaani paper 1-3 na BAM&GS. Sasa hiyo PGM mbona washkaj wanasoma na headphone? Mi naona mtoa uzi hesabu kwake ni mama/baba mkwe. PGM maths inakusaidia kujibu phy na Geo inajibu GS, Ugumu uko wapi?
 
kama ngumu kasome HKL uko! Unafkiri kua certified aviation system engineer ni kaz ndogo eeeeh! Sasa vi physics vya kumeza advance hvyo!...... Kaaa kushoto wewe!!!!! Bora mtu wa medicine aseme kasota! Sio wewe kusoma PGM ambayo labda ilikuonaaa!
 
Kijana inavyoonekana wewe na hesabu ni mama mkwe kama siyo baba mkwe. Chamsingi wewe kazana na maths kwani ndo itasaidia kufanya phy vizuri na kufanya GS fresh. Sisi enzi zetu wale waliokuwa wanasoma PGM tulikuwa tunawaita comb ya ART ndani ya sayance kwa kuwa somo la Geography hata comb za art LIMO. Pure science ni PCB na ndo kikomo cha wote. Na ukitaka kuhakikisha waulize madaktari na ndiyo maana wao kumaliza medicine ni miaka mitano. Hata ukiangalia final examination katika combination zote, PCB huwa ni wa mwisho kumaliza maana wao hufanya mitahani 11 katika mchanganuo ufuatao: Physics paper one to paper three kila moja katika sitting tofauti, hali kadhalika katika chemistry na biology na hivyo kufanya jumla ya mitihani 9 ukiunganisha na BAM pamoja na GS unapata 11. HATA HIVYO, PGM uki master hesabu unaula kwani geography utasoma na headphone masikioni na hata hesabu pia. Kumbuka: ugumu wa kitu uko kichwani mwa mtu kwa kuwa mimi binafsi naamini history ni ngumu kuliko physics.
 
Physics nilipata A, Geography nilipata A, BAM nilipata A......ILA NIMEGUNDUA KOMBI NGUMU NI 'MAISHA'...!

Hapo kwenye red sishangai,
Michango ya mingi inadhihirisha hivo,
BAM = A? kama kawaida ushadanganya!
 
Kijana inavyoonekana wewe na hesabu ni mama mkwe kama siyo baba mkwe. Chamsingi wewe kazana na maths kwani ndo itasaidia kufanya phy vizuri na kufanya GS fresh. Sisi enzi zetu wale waliokuwa wanasoma PGM tulikuwa tunawaita comb ya ART ndani ya sayance kwa kuwa somo la Geography hata comb za art LIMO. Pure science ni PCB na ndo kikomo cha wote. Na ukitaka kuhakikisha waulize madaktari na ndiyo maana wao kumaliza medicine ni miaka mitano. Hata ukiangalia final examination katika combination zote, PCB huwa ni wa mwisho kumaliza maana wao hufanya mitahani 11 katika mchanganuo ufuatao: Physics paper one to paper three kila moja katika sitting tofauti, hali kadhalika katika chemistry na biology na hivyo kufanya jumla ya mitihani 9 ukiunganisha na BAM pamoja na GS unapata 11. HATA HIVYO, PGM uki master hesabu unaula kwani geography utasoma na headphone masikioni na hata hesabu pia. Kumbuka: ugumu wa kitu uko kichwani mwa mtu kwa kuwa mimi binafsi naamini history ni ngumu kuliko physics.

Nasisitiza ugumu upo kichwani mwa mtu!
 
Nasisitiza ugumu upo kichwani mwa mtu!

so maisha si magumu at all ryt kuwa m2 maskini ni kichwan 2. So ts nt fair 2 complain daily that lyf z hard. Men dat aint true cus most of d people are actually poor so from dat t means life z hard,mkuu hivi unaona hoja yangu inapoelekea,just bcouse few ppo hav achived somethng successfully t doesnt make t ،easy،,angalia statistics zinasemaje ndo utapata jibu,that ol mental **** dat ،،ts ol in ur head nd stuff،،ts jus 2 help u face ur fears nd challenges ila ukweli utabaki pale pale.Dats wat i thnk.
 
so maisha si magumu at all ryt kuwa m2 maskini ni kichwan 2. So ts nt fair 2 complain daily that lyf z hard. Men dat aint true cus most of d people are actually poor so from dat t means life z hard,mkuu hivi unaona hoja yangu inapoelekea,just bcouse few ppo hav achived somethng successfully t doesnt make t ،easy،,angalia statistics zinasemaje ndo utapata jibu,that ol mental **** dat ،،ts ol in ur head nd stuff،،ts jus 2 help u face ur fears nd challenges ila ukweli utabaki pale pale.Dats wat i thnk.
Good Guy
what causes umasikini?
What causes hard life?
Je hizo statistics zinaeleza chanzo cha haya maswali yangu?
 
Last edited by a moderator:
Good Guy
what causes umasikini?
What causes hard life?
Je hizo statistics zinaeleza chanzo cha haya maswali yangu?

I dnt get u. Nd i also dnt thnk u gt my point either, lyf is hard jus bcause few ppo hav a good life doesn،t mean life is a ،beach party،,bado fact ni kwamba maisha ni magumu. Back 2 th topic: personaly nasupport mtoa mada japo c 100% kua masomo hayo ni magumu(again not 100%),proof look at d statistics(on th results of th subjects i.e). Umeniuliza swali ila cjakupata where ur heading.Chanzo cha umaskini?chanzo cha maisha magumu???uhh
 
Last edited by a moderator:
kila mtu atasifia alichosoma yeye.kwangu miye PCB mwisho....all in all ugumu wa somo ni sifa za kijinga,nina washkaji waliishia form four lakini wana maisha mazuri kuliko miye niliyesoma pcb na medicine...
 
Inaonesha ulifuata mkumbo sasa unakutesa,au unataka kusingizia ulipangiwa tu ndo maana inakusumbua.Kijana hakuna masika yasiyokuwa na mbu
 
Back
Top Bottom