elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
nimenunua bberry storm lakini sipendi hii ktu ya kutumia internet kwa kununua packages na ukiicrack internet inakubali via opera min apps nyingne hazikubali.
Sasa nauliza kuna jinsi ya kuicrack nikatumia internet bila packages kama kwenye cm nyngne.
Ishaniboa anayetaka ani pm nimuuzie bado mpya mpya meitumia mwez tu.
Sasa nauliza kuna jinsi ya kuicrack nikatumia internet bila packages kama kwenye cm nyngne.
Ishaniboa anayetaka ani pm nimuuzie bado mpya mpya meitumia mwez tu.