Hivi kuna dawa yoyote ya kuzuia mhemko?

MAENE

Senior Member
Jan 7, 2011
116
22
Habari wandugu? Naomba madaktari waliopo hapa wanisaidie,hivi duniani humu kuna dawa ambayo ina uwezo wa kuzuia mhemko?( ambayo inaweza kuwasaidia wale ambao hawana mpango wa kuyaingia maisha ya ndoa)
 
Uliwazalo ndilo utendalo. Ondoa mawazo huko, uwe bize na kazi zako, fanya mazoezi kila unapopata kishawishi, mwombe Mungu wako akupe nguvu.

Man is, but a product of his thoughts: what he thinks, that he becomes.
Mahatma, Ghandi
 
Uliwazalo ndilo utendalo. Ondoa mawazo huko, uwe bize na kazi zako, fanya mazoezi kila unapopata kishawishi, mwombe Mungu wako akupe nguvu.

Man is, but a product of his thoughts: what he thinks, that he becomes.
Mahatma, Ghandi

Hiyo ndio tiba pekee
 
Duh wewe upo viceversa na mimi. Nahitaji mihemko kuendana na kasi na viwango vya mke wangu. Okey, tiba ni zoezi na akili. Fanya mazoezi na jitambue kwamba hutaki mambo ya ngono.
Ahsante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom