Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Hii inatokana na kipindi cha 'Habari ndiyo hiyo' cha TBC1 jana.
Topic ilikuwa "wanaume wa cku hizi"
Sijui mwandaaji wa kipindi aliwaza nini kuleta topic hii (ni mwanaume) ila almost wanawake wote aliowahoji alianza swali la kwanza ...unawachukuliaje wanaume wa siku hizi?...
Majibu ya wanawake sasa... Du!
Wa kwanza ...Hawaeleweki, ni waongo, wanatuhadaa...
Wa pili ...wanapenda kulelewa, ni waongo....
Wa tatu ...ni waongo, hawaaminiki...
Kipindi kiliendelea na kati ya wanawake zaidi ya saba waliohojiwa, isipokuwa mmoja, wengine walionyesha kuwa wanaume wa siku hizi ni waongo, hawaaminiki, wanapenda kulelewa. Cha kusikitisha ni kuwa majibu haya yalitoka kwa wanawake wa rika tofauti, waliwepo wadada waliwili ambao kimwonekano walikuwa na miaka kumi+ au early twenties!!! Ni mmoja tu alisema kuwa ni watulivu, wana upendo akitolea mfano mchumba wake.
Hivi kinadada, kwanini hatuaminiani hivyo jamani??!
Topic ilikuwa "wanaume wa cku hizi"
Sijui mwandaaji wa kipindi aliwaza nini kuleta topic hii (ni mwanaume) ila almost wanawake wote aliowahoji alianza swali la kwanza ...unawachukuliaje wanaume wa siku hizi?...
Majibu ya wanawake sasa... Du!
Wa kwanza ...Hawaeleweki, ni waongo, wanatuhadaa...
Wa pili ...wanapenda kulelewa, ni waongo....
Wa tatu ...ni waongo, hawaaminiki...
Kipindi kiliendelea na kati ya wanawake zaidi ya saba waliohojiwa, isipokuwa mmoja, wengine walionyesha kuwa wanaume wa siku hizi ni waongo, hawaaminiki, wanapenda kulelewa. Cha kusikitisha ni kuwa majibu haya yalitoka kwa wanawake wa rika tofauti, waliwepo wadada waliwili ambao kimwonekano walikuwa na miaka kumi+ au early twenties!!! Ni mmoja tu alisema kuwa ni watulivu, wana upendo akitolea mfano mchumba wake.
Hivi kinadada, kwanini hatuaminiani hivyo jamani??!