Hivi kumbe wanawake mnatuchukulia hivi! Da...

Tuko

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
11,178
7,319
Hii inatokana na kipindi cha 'Habari ndiyo hiyo' cha TBC1 jana.
Topic ilikuwa "wanaume wa cku hizi"
Sijui mwandaaji wa kipindi aliwaza nini kuleta topic hii (ni mwanaume) ila almost wanawake wote aliowahoji alianza swali la kwanza ...unawachukuliaje wanaume wa siku hizi?...

Majibu ya wanawake sasa... Du!

Wa kwanza ...Hawaeleweki, ni waongo, wanatuhadaa...
Wa pili ...wanapenda kulelewa, ni waongo....
Wa tatu ...ni waongo, hawaaminiki...


Kipindi kiliendelea na kati ya wanawake zaidi ya saba waliohojiwa, isipokuwa mmoja, wengine walionyesha kuwa wanaume wa siku hizi ni waongo, hawaaminiki, wanapenda kulelewa. Cha kusikitisha ni kuwa majibu haya yalitoka kwa wanawake wa rika tofauti, waliwepo wadada waliwili ambao kimwonekano walikuwa na miaka kumi+ au early twenties!!! Ni mmoja tu alisema kuwa ni watulivu, wana upendo akitolea mfano mchumba wake.

Hivi kinadada, kwanini hatuaminiani hivyo jamani??!
 
Kwasababu hamuaminiki!!

Sio wote...baadhi yenu msio na mshipa wa aibu wala huruma.Hao wote waliojibu naamini wamejibu kutokana na experience...badilikeni mpendwe mpaka mchukie!
 
hii inatokana na kipindi cha 'habari ndiyo hiyo' cha tbc1 jana.
Topic ilikuwa "wanaume wa cku hizi"
sijui mwandaaji wa kipindi aliwaza nini kuleta topic hii (ni mwanaume) ila almost wanawake wote aliowahoji alianza swali la kwanza ...unawachukuliaje wanaume wa siku hizi?...

Majibu ya wanawake sasa... Du!

Wa kwanza ...hawaeleweki, ni waongo, wanatuhadaa...
Wa pili ...wanapenda kulelewa, ni waongo....
Wa tatu ...ni waongo, hawaaminiki...


Kipindi kiliendelea na kati ya wanawake zaidi ya saba waliohojiwa, isipokuwa mmoja, wengine walionyesha kuwa wanaume wa siku hizi ni waongo, hawaaminiki, wanapenda kulelewa. Cha kusikitisha ni kuwa majibu haya yalitoka kwa wanawake wa rika tofauti, waliwepo wadada waliwili ambao kimwonekano walikuwa na miaka kumi+ au early twenties!!! Ni mmoja tu alisema kuwa ni watulivu, wana upendo akitolea mfano mchumba wake.

Hivi kinadada, kwanini hatuaminiani hivyo jamani??!


mnatutenda kila kukichaaaaaaaaa
 
Hii inatokana na kipindi cha 'Habari ndiyo hiyo' cha TBC1 jana.
Topic ilikuwa "wanaume wa cku hizi"
Sijui mwandaaji wa kipindi aliwaza nini kuleta topic hii (ni mwanaume) ila almost wanawake wote aliowahoji alianza swali la kwanza ...unawachukuliaje wanaume wa siku hizi?...

Majibu ya wanawake sasa... Du!

Wa kwanza ...Hawaeleweki, ni waongo, wanatuhadaa...
Wa pili ...wanapenda kulelewa, ni waongo....
Wa tatu ...ni waongo, hawaaminiki...


Kipindi kiliendelea na kati ya wanawake zaidi ya saba waliohojiwa, isipokuwa mmoja, wengine walionyesha kuwa wanaume wa siku hizi ni waongo, hawaaminiki, wanapenda kulelewa. Cha kusikitisha ni kuwa majibu haya yalitoka kwa wanawake wa rika tofauti, waliwepo wadada waliwili ambao kimwonekano walikuwa na miaka kumi+ au early twenties!!! Ni mmoja tu alisema kuwa ni watulivu, wana upendo akitolea mfano mchumba wake.

Hivi kinadada, kwanini hatuaminiani hivyo jamani??!


WE unasemaje?unaonaje?
wamesingiziwa?
 
Hii inatokana na kipindi cha 'Habari ndiyo hiyo' cha TBC1 jana.
Topic ilikuwa "wanaume wa cku hizi"
Sijui mwandaaji wa kipindi aliwaza nini kuleta topic hii (ni mwanaume) ila almost wanawake wote aliowahoji alianza swali la kwanza ...unawachukuliaje wanaume wa siku hizi?...

Majibu ya wanawake sasa... Du!

Wa kwanza ...Hawaeleweki, ni waongo, wanatuhadaa...
Wa pili ...wanapenda kulelewa, ni waongo....
Wa tatu ...ni waongo, hawaaminiki...



Kipindi kiliendelea na kati ya wanawake zaidi ya saba waliohojiwa, isipokuwa mmoja, wengine walionyesha kuwa wanaume wa siku hizi ni waongo, hawaaminiki, wanapenda kulelewa. Cha kusikitisha ni kuwa majibu haya yalitoka kwa wanawake wa rika tofauti, waliwepo wadada waliwili ambao kimwonekano walikuwa na miaka kumi+ au early twenties!!! Ni mmoja tu alisema kuwa ni watulivu, wana upendo akitolea mfano mchumba wake.

Hivi kinadada, kwanini hatuaminiani hivyo jamani??!
Wanawake banaa utafikiri wao huwa ni Malaika
 
yap. nimeipenda hiyo. kwa mtazamo wangu, sio wanaume wote wakwel. kat ya percent 100 percent 10 ndiyo waaminifu. but frankly 90 percent ni wanafiki, waongo, na co waaminifu. tena wengne bila mshpa wa aibu wanakwambia washana mko weng. so inabd mwanaume mmoko awe na wanawake zaid ya wanne! jaman jaman tumwogope MUNGU vinginevyo Ukimwi na magonjwa mengne nyemelezi hayataisha ng"o!
 
Na wanawake wa siku hizi nao wakoje? Au wao ni malaika na siku zote ni wema, waadilifu, waaminifu, wakweli, wenye heshima, na wenye mapenzi ya kweli?

Umeshakula lunch!??Usiwe na hasira bwana mada inahisu wanaume acha wanawake waponde...next week zamu yetu kusemwa..ntakununulia muda wa dakika 15 hewani useme yote yakukerayo!!
 
Umeshakula lunch!??Usiwe na hasira bwana mada inahisu wanaume acha wanawake waponde...next week zamu yetu kusemwa..ntakununulia muda wa dakika 15 hewani useme yote yakukerayo!!

Toka lini unajali kama nimekula au la? Jana tu umetoka kuninyima ulichopika....mwanamke una roho mbaya wewe.....
 
Toka lini unajali kama nimekula au la? Jana tu umetoka kuninyima ulichopika....mwanamke una roho mbaya wewe.....
Najali bwana...hapa tu nimekupikia ugali mgumuuuuu na mchuzi wa samaki pia mchicha pembeni!!
 
Najali bwana...hapa tu nimekupikia ugali mgumuuuuu na mchuzi wa samaki pia mchicha pembeni!!

Haabaaa haabaa haabaaa.....kumbe unayajua fika mahitaji ya Nzagamba wa Ikungulyabashashi. Obeja gete nkima one.
 
WE unasemaje?unaonaje?
wamesingiziwa?

Sina hakika Rose, maana mi ni mwanaume, so siwezi kujijaji...

Hata hivyo majibu ya wanawake yalinishangaza, nikajiuliza hivi angehojiwa mke wangu angejibuje?!
 
Kwasababu hamuaminiki!!

Sio wote...baadhi yenu msio na mshipa wa aibu wala huruma.Hao wote waliojibu naamini wamejibu kutokana na experience...badilikeni mpendwe mpaka mchukie!

Sina uhakika kama umeolewa au una Mchumba/Boyfriend, ila naomba nikuulize kama unaye, je ungeulizwa leo unawachukuliaje wanaume wa siku hizi, na ukatoa jibu kwa reference ya uliye naye au uliyewahi kuwa naye, unadhani jibu utakalotoa ndilo analodhania utatoa? I mean hatashangaa?
 
Sina uhakika kama umeolewa au una Mchumba/Boyfriend, ila naomba nikuulize kama unaye, je ungeulizwa leo unawachukuliaje wanaume wa siku hizi, na ukatoa jibu kwa reference ya uliye naye au uliyewahi kuwa naye, unadhani jibu utakalotoa ndilo analodhania utatoa? I mean hatashangaa?

Ashangae nini...kwani hua hamjijui kama ni WAZURI au WABAYA??!Sidhani kama kuna mtu kipofu kiasi cha kutojijua yeye ni mtu wa aina gani!!
 
Obeja gete nkima one.....???!Embu nitafsirie wakati nakumiminia mtindi kwenye glass!!

Hebu harakisha kumimina huo mtindi bana. Nna njaa mimi….mambo ya tafsiri baadae nkishashiba. Kwanza natoza ushuru kwa huduma za kutafsiri.
 
Hebu harakisha kumimina huo mtindi bana. Nna njaa mimi….mambo ya tafsiri baadae nkishashiba. Kwanza natoza ushuru kwa huduma za kutafsiri.

Ushuru tena?!Mbona mi sijalipwa kupika??!
Nwy nakubembeza...nitafsirie basiNyaniizzo...pleaeeeeeese!!
 
Back
Top Bottom